Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 564
- 1,090
Bi dada kaolewa kimya kimya na habari ikawekwa kwa Mange na picha juu.
Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.
Nani baba wa first born? But bi mkubwa ana moyo, ina maana muda wote mume alikua anacheat mpaka wakazaa watoto wawili na sasa kaamua kuoa. Wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu
Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.
Nani baba wa first born? But bi mkubwa ana moyo, ina maana muda wote mume alikua anacheat mpaka wakazaa watoto wawili na sasa kaamua kuoa. Wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu