Huyu mume mpya wa Salma Msangi ni nani?

Trayvess Daniel

JF-Expert Member
Mar 16, 2014
564
1,090
Bi dada kaolewa kimya kimya na habari ikawekwa kwa Mange na picha juu.

Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.

Nani baba wa first born? But bi mkubwa ana moyo, ina maana muda wote mume alikua anacheat mpaka wakazaa watoto wawili na sasa kaamua kuoa. Wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu

photo_2021-09-06_11-10-24.jpg
 
Bi dada kaolewa kimya kimya.... na habari ikawekwa kwa Mange na picha juu. Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.
Nani baba wa first born?
But bi mkubwa ana moyo, ina maana muda wote mume alikua anacheat mpaka wakazaa watoto wawili na sasa kaamua kuoa. Wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu

View attachment 1916615
Kuanzia leo nimekupa/kukabidhi mikoba ya marehemu warumi
 
Bi dada kaolewa kimya kimya.... na habari ikawekwa kwa Mange na picha juu. Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.
Nani baba wa first born?
But bi mkubwa ana moyo, ina maana muda wote mume alikua anacheat mpaka wakazaa watoto wawili na sasa kaamua kuoa. Wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu

View attachment 1916615
Ila dada zetu wa Kiislam ndoa,kuolewa ni big deal sana,
Mketema,Dada yake Mond,Yule dada wa Ng'arin'gari,shilole,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom