Aisee kuna dada mmoja anasoma chuo fulani hapa moshi namfukuzia siku nyingi lakini alikuwa bado haeleweki.
Cha ajabu leo kaniita kwenda hadi hapo anapoishi maana yeye amepanga mbali kidogo na chuo ikabidi niende pande zile hadi hilo rumu analokaa maana yy yupo peke yake,kufika mle ndani tukaongea kama dakika 30 hivi.
mara wakaja washkaji wanaosoma nao wakaanza kumuuliza leo hatufanyi discussion,akasema tutafanya ila usiku,basi wale jamaa wakawa wanapiga naye stoti mbili tatu mle chumbani kwake na mm nipo humo humo
Basi baadaye kaniomba anaomba akafanye discussion kidogo ila akaniachia chumba chake na funguo yake mm nikajua hapo mambo yamejipa akaniahidi kwenye saa 11 hivi jioni atakuwa amerudi basi wacha nikae mle ndani kuanzia saa saba hadi saa moja na nusu nashangaa ananitumia message mpe funguo huyo jirani yangu nimempigia simu anakuja kuchukua funguo maana nitachelewa kurudi ww nenda nitakutafuta nikimaliza mitihani,nikamjibu tarehe 26,
Nikamwambia nitakusubiri akasema sitaki unisubiri wewe mm mke wa mtu so akija jamaa mtaleteana ugomvi yaani mpaka naandika hii nyuzi nimeumia vibaya natamani hata ningemuibia baadhi ya vitu vyake shenzi sana huyu