little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 558
duuu!!!! pole mkuu... songa mbele wengine watakuwepo mbele ya safari....
Huyo hakwenda kuchill kafata uchi na kaukosa kwa ezembe wake....Si unamfundisha boya.. Eti angemnjunja viwili vya fastaaaa... Umesahau wahenga walisema sio lazima to Do twaweza enda home na kuchill tu... Mweeeh Evelyn Salt
Karibu jf...hahaaahaaa!! Afu Evelyn Salt ni kati ya mliofanya nijiunge na hii familia ya jf...umetisha mkuu.
Huyo hakwenda kuchill kafata uchi na kaukosa kwa ezembe wake....
Nikamwambia nitakusubiri akasema sitaki unisubiri wewe mm mke wa mtu so akija jamaa mtaleteana ugomvi yaani mpaka naandika hii nyuzi nimeumia vibaya natamani hata ningemuibia baadhi ya vitu vyake shenzi sana huyu
acha uroho
My mchepuko mambo
hahaha poa za siku?naona ushapata wa kukuchepusha zaidi yangu ndo maana huonekani siku hizi
Hahaaa nambie leo tukajichepue wapi basi
we mwanamke kule mbona huonekani tumekumiss
Huyo hakwenda kuchill kafata uchi na kaukosa kwa ezembe wake....
Nimeukumbuka ule wimbo wa zamani uitwao Solemba.
Uzembe wake tu, dakika za nyongeza 30 zote eti kazimaliza kupiga story aaaggghhh kankwaza mieHuyu jamaa kweli boya kafata kakitu distance yote iyo then kachomeshwa mahidi!
Hahaaa nambie leo tukajichepue wapi basi
Hahahhahaha eti shenzi sana,..ungeanza kumshika kiuno within 10 mins ungeona km hao rafiki zake wangekuja,
polehhh