Huyu msichana vipi?

Huyu msichana vipi?

Aisee kuna dada mmoja anasoma chuo fulani hapa moshi namfukuzia siku nyingi lakini alikuwa bado haeleweki.

Cha ajabu leo kaniita kwenda hadi hapo anapoishi maana yeye amepanga mbali kidogo na chuo ikabidi niende pande zile hadi hilo rumu analokaa maana yy yupo peke yake,kufika mle ndani tukaongea kama dakika 30 hivi.

mara wakaja washkaji wanaosoma nao wakaanza kumuuliza leo hatufanyi discussion,akasema tutafanya ila usiku,basi wale jamaa wakawa wanapiga naye stoti mbili tatu mle chumbani kwake na mm nipo humo humo

Basi baadaye kaniomba anaomba akafanye discussion kidogo ila akaniachia chumba chake na funguo yake mm nikajua hapo mambo yamejipa akaniahidi kwenye saa 11 hivi jioni atakuwa amerudi basi wacha nikae mle ndani kuanzia saa saba hadi saa moja na nusu nashangaa ananitumia message mpe funguo huyo jirani yangu nimempigia simu anakuja kuchukua funguo maana nitachelewa kurudi ww nenda nitakutafuta nikimaliza mitihani,nikamjibu tarehe 26,

Nikamwambia nitakusubiri akasema sitaki unisubiri wewe mm mke wa mtu so akija jamaa mtaleteana ugomvi yaani mpaka naandika hii nyuzi nimeumia vibaya natamani hata ningemuibia baadhi ya vitu vyake shenzi sana huyu

Subiri next time.
mtafutaye hachoki,akichoka keshapata.
 
Wewe leo ulikuwa utumike...hao wenzie wakaharibu...na wewe dakika 30 chumbani unapiga story? Cc Evelyn Salt
Jamaa mzito kama uji wa mtama
kapata zali la kuitwa chumbani story muda wote huo?aseeee hadi nimekwazika utadhani inanihusu
tena utakuta story zenyewe kapiga za kijinga kijinga za primary school aaagggrrr
 
nimeumia vibaya natamani hata ningemuibia baadhi ya vitu vyake shenzi sana huyu
Yani we ACAPULCO boya kweli...
dem anakuita unaremba remba nini sasa 30 minutes enough kabisa kwa kula Mate, kupima oil na kupiga viwili vya fasta
atakuwa kakudharau sana.....hata mi umenikera kwakweli
 
Last edited by a moderator:
Yani we ACAPULCO boya kweli...
dem anakuita unaremba remba nini sasa 30 minutes enough kabisa kwa kula Mate, kupima oil na kupiga viwili vya fasta
atakuwa kakudharau sana.....hata mi umenikera kwakweli

Hahah, hv una2mia dry au mixa?
 
Last edited by a moderator:
Yaani kumbe we ni mwizi pia? Kukosa penzi na kuwaza kuiba vitu ni mambo mawili tofauti kabisa!!
 
Usikasirike mkuu, kuwa mpole "siku aki uza mechi" kula na mtaji
 
Aisee kuna dada mmoja anasoma chuo fulani hapa moshi namfukuzia siku nyingi lakini alikuwa bado haeleweki.

Cha ajabu leo kaniita kwenda hadi hapo anapoishi maana yeye amepanga mbali kidogo na chuo ikabidi niende pande zile hadi hilo rumu analokaa maana yy yupo peke yake,kufika mle ndani tukaongea kama dakika 30 hivi.

mara wakaja washkaji wanaosoma nao wakaanza kumuuliza leo hatufanyi discussion,akasema tutafanya ila usiku,basi wale jamaa wakawa wanapiga naye stoti mbili tatu mle chumbani kwake na mm nipo humo humo

Basi baadaye kaniomba anaomba akafanye discussion kidogo ila akaniachia chumba chake na funguo yake mm nikajua hapo mambo yamejipa akaniahidi kwenye saa 11 hivi jioni atakuwa amerudi basi wacha nikae mle ndani kuanzia saa saba hadi saa moja na nusu nashangaa ananitumia message mpe funguo huyo jirani yangu nimempigia simu anakuja kuchukua funguo maana nitachelewa kurudi ww nenda nitakutafuta nikimaliza mitihani,nikamjibu tarehe 26,

Nikamwambia nitakusubiri akasema sitaki unisubiri wewe mm mke wa mtu so akija jamaa mtaleteana ugomvi yaani mpaka naandika hii nyuzi nimeumia vibaya natamani hata ningemuibia baadhi ya vitu vyake shenzi sana huyu

una bahati kweli,angekuachia na vyombo uoshe
 
vijana wa kisasa mna shida sana,baada ya kuuliza ulichoitiwa ukaanza stori anakuona ----- tu...
 
jamaa mzito kama uji wa mtama
kapata zali la kuitwa chumbani story muda wote huo?aseeee hadi nimekwazika utadhani inanihusu
tena utakuta story zenyewe kapiga za kijinga kijinga za primary school aaagggrrr
mami evelyn humo ndani wakati naingia nilikuwa peke yangu lakini kama dakika mbili hivi jamaa wanaosoma naye wakaanza kuingia jamani
 
Yani we ACAPULCO boya kweli...
dem anakuita unaremba remba nini sasa 30 minutes enough kabisa kwa kula Mate, kupima oil na kupiga viwili vya fasta
atakuwa kakudharau sana.....hata mi umenikera kwakweli

mamie full mlango kuachwa wazi,hataki ufungwe na rafiki zake mara waingie mara watoke
 
Back
Top Bottom