Kwa hiyo watu wakitukanwa wewe ndiyo umetekenywa
Kutukanwa au kuambiwa ukweli kuhusu yale wanayofanya ili kama ni mabaya wajirekebishe kama ni mazuri waongeze bidii. Hamataki kuambiwa ukweli, manataka kusisfiwa tu, hata pale mnapokuwa mmekosea, mimi ingawa sikuwepo ukumbini, lakini pamoja na picha za startv kuwa na rangi rangi, nilichelewa kulala lengo kubwa likiwa ni kumsikiliza Mpoki alivyokuwa anawachana mmoja baada ya mwingine, utavaaje viatu virefu bila kufanya mazoezi ya kutembea navyo ?