Huyu Mpoki vipi jamani?

Huyu Mpoki vipi jamani?

Raha sana kujadiliwa huku yeye ameshavuta mkwanja wake anakula bata tu,sasa mlitaka afanyeje? mbona hizo stori kila mtu anazijua kwenye magazeti,redio au mpoki kusema ndo zimewakereni mpoki ni bonge la mc anawafanya watu kuwa active muda wote hakuna kulala ili mradi uwe na mbavu za ziada mimi sikuona tatzo la mpoki ndiyo kazi ya sanaa,kuelimisha,kuburudisha na kukosoa jamiii
 
Huyu Vanessa Mdee si mpare huyu..ndo hajui kiswahili? Hapa nilicheka sana yani...
 
hakuna msanii yeyote anayeweza kufikia saana ya Mpoki ...
Sikuona alivyo host ...but hayo yote aliyoyaongea hakuna libaya hata moja .
Kazi nzuri saana mpoki. . !! .
 
Ukirusha jiwe gizani ukisikia kelele ujue limempata. Poleni sana mlopewa madonge na mpoki.

Pamioja na kuwa nilikuwa naumwa malaria, niliiangalia ile show hadi saa saba usiku.

"Ulikuwa unaishi kimara bonyokwa, sasa umehama mbezi beach...., umejenga?" Halikujibiwa hili swali.
 
Pamoja na kuwa Comedian, anatakiwa kuwa mbunifu, unapoleta comedy za Chekechea kwenye hadhira ya watu wazima, nu kutojitambua. Kila sehemu kuna comedy zake ambazo zitaongeza radha ya jambo badala ya kufedhehesha, achene kutetea ujinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom