Huyu Mpoki vipi jamani?

Huyu Mpoki vipi jamani?

Brigedia Chan-ocha

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
1,353
Reaction score
2,851
Jamaa juzi siku ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards alikuwa kama vile anatania lakini vile vile alikuwa anaboa sana, hata kama ni msanii hapana alikuwa too much,

Alimwambia mama mmoja kuwa "Anafaa kwa matumizi ya binadamu"

Then akamwambia wema sepetu "Alinyangw'anywa penzi na akalirudisha"

Alipokuja RAY, kama vile Ray alianza kupatwa na wasi wasi sana asijue mpoki atasema nini juu yake, jamaa akamchana kuwa "Kuna maneno mtaani kuwa umeachana na Johari"....RAY alionekana kuogopa sana jamaa asiendelee kumchana.

Akaja Hashim Lundenga "Mpoki alimchana indirect, kuwa ni mtu aliyeweza kuvumbua vipaji vya wasichana....alitaka kutamka jambo hapa yule dada akamuwahi...

Alipokuja LULU Michael...hapa aliona aibu kidogo, hata mimi nilikuwa nasali sana asiropoke jambo lolote kuhusu Lulu....
 
Jamaa juzi siku ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards alikuwa kama vile anatania lakini vile vile alikuwa anaboa sana, hata kama ni msanii hapana alikuwa too much,

Alimwambia mama mmoja kuwa "Anafaa kwa matumizi ya binadamu"

Then akamwambia wema sepetu "Alinyangw'anywa penzi na akalirudisha"

Alipokuja RAY, kama vile Ray alianza kupatwa na wasi wasi sana asijue mpoki atasema nini juu yake, jamaa akamchana kuwa "Kuna maneno mtaani kuwa umeachana na Johari"....RAY alionekana kuogopa sana jamaa asiendelee kumchana.

Akaja Hashim Lundenga "Mpoki alimchana indirect, kuwa ni mtu aliyeweza kuvumbua vipaji vya wasichana....alitaka kutamka jambo hapa yule dada akamuwahi...

Alipokuja LULU Michael...hapa aliona aibu kidogo, hata mimi nilikuwa nasali sana asiropoke jambo lolote kuhusu Lulu....
Hii mada tulishaimaliza kitambo kuwa Mpoki ni Janga katika sanaa.full stop
 
Jamaa juzi siku ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards alikuwa kama vile anatania lakini vile vile alikuwa anaboa sana, hata kama ni msanii hapana alikuwa too much,

Alimwambia mama mmoja kuwa "Anafaa kwa matumizi ya binadamu"

Then akamwambia wema sepetu "Alinyangw'anywa penzi na akalirudisha"

Alipokuja RAY, kama vile Ray alianza kupatwa na wasi wasi sana asijue mpoki atasema nini juu yake, jamaa akamchana kuwa "Kuna maneno mtaani kuwa umeachana na Johari"....RAY alionekana kuogopa sana jamaa asiendelee kumchana.

Akaja Hashim Lundenga "Mpoki alimchana indirect, kuwa ni mtu aliyeweza kuvumbua vipaji vya wasichana....alitaka kutamka jambo hapa yule dada akamuwahi...

Alipokuja LULU Michael...hapa aliona aibu kidogo, hata mimi nilikuwa nasali sana asiropoke jambo lolote kuhusu Lulu....

Chelsea inanipa presha kweli, itakua Wenger kamtupia jini Maurinyo. si bure.
 
Kila jambo ukilichukulia serious hata mitume wa kwenye vitabu vitakatifu na misaafu watakuboa kwa kuwa walinena kwa mifano fikirishi wakati mwingine!
 
Jamaa juzi siku ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards alikuwa kama vile anatania lakini vile vile alikuwa anaboa sana, hata kama ni msanii hapana alikuwa too much,

Alimwambia mama mmoja kuwa "Anafaa kwa matumizi ya binadamu"

Then akamwambia wema sepetu "Alinyangw'anywa penzi na akalirudisha"

Alipokuja RAY, kama vile Ray alianza kupatwa na wasi wasi sana asijue mpoki atasema nini juu yake, jamaa akamchana kuwa "Kuna maneno mtaani kuwa umeachana na Johari"....RAY alionekana kuogopa sana jamaa asiendelee kumchana.

Akaja Hashim Lundenga "Mpoki alimchana indirect, kuwa ni mtu aliyeweza kuvumbua vipaji vya wasichana....alitaka kutamka jambo hapa yule dada akamuwahi...

Alipokuja LULU Michael...hapa aliona aibu kidogo, hata mimi nilikuwa nasali sana asiropoke jambo lolote kuhusu Lulu....

Me nadhani watanzania hatujazoe COMEDY huwa zikoje lazima sasa comedy zije kwenye daily life yetu na uanapaswa kujitambua kwa hilo ukiwa uanaona shyyyyy then wewe ndio mwenye tatizo pale palikuwa ni zawadi kwa wasanii nao ndio wanatupa usanii piana sio mbya mpoki nae kututumbuiza na COMEDY zake. Hivi ukisikia COMEDY za wenzetu huko West africa America, hapo kenya tuyuu Jamani mwependa nuna nuna sana eeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom