Huyu Mpoki vipi jamani?

Huyu Mpoki vipi jamani?

Yaan Mpoki alinifurahisha balaa asingekuwepo nisingeangaliaa kabisa
Wawe wanamuwekaa tu yule dada alikua hata hatangaz vizuriiii
 
Naomba matokeo ya T. Stars na Angola?
 
Mimi sio siri nilifurahia sana uwepo wa Mpoki nilijua nitacheka tu na kweli hakuniangusha,mimi kosa nililoliona alifanya ni moja tu ile ishu ya HIV,haitakiwi kabisa kufanya utani kwenye hii kitu coz ukifanya hivyo hakika unawaumiza wengi,hapo naamini aliteleza tu na hatorudia tena.Kwingine kote alikuwa poa,yule ni mtu wa comedy so alichokifanya ndicho nilichotarajia,mi huwa naangalia sana BET so sishangai hilo,kinachowafanya watu mmind labda ni utani wake kushabihiana na ukweli.Eti mtu unamind Mchomvu kuambiwa mrefu kama mkojo nini cha ajabu hapo?Mchomvu mwenyewe ndio bingwa wa kuropoka redioni na utani kwa sana,ntashangaa kama atamind kuambiwa hivyo

Hata mi sishangai bali nashangaa jina lako. Kwahiyo mkiwa wawili mnaitwa makende au?
 
Tatizo wabongo hampendi kuambiwa ukweli
 
Alifanya alichoalikwa kufanya...full stop
 
Si wewe ndiye uliyesema mpoki alikukuna sana wakati anavulumisha mitusi kwa watu sasa nikusingizie nini dada yangu

kwani yale ni matusi jamani.........

kwani mtu akikwambia ulipokonya penzi na ukafanikiwa kurudisha anakuwa amekutukana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom