Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
hahaa... kweli mpwa
mzima wewe
hahaa... kweli mpwa
msemaji wangu wa JF huyo.............
Mambo mamy?mzima wewe
mzima wewe
Basi umeshinda wewe maana tutakesha hapakwani yale ni matusi jamani.........
kwani mtu akikwambia ulipokonya penzi na ukafanikiwa kurudisha anakuwa amekutukana
teheheheh, we kiboko ya njia. ngoja niweke nukta.
Mambo mamy?
Tumezoea mambo ya chobingo hata tukiambiwa ki-comedy comedy tuna-mind wakati yote hayo yapo mtaani
Me nadhani watanzania hatujazoe COMEDY huwa zikoje lazima sasa comedy zije kwenye daily life yetu na uanapaswa kujitambua kwa hilo ukiwa uanaona shyyyyy then wewe ndio mwenye tatizo pale palikuwa ni zawadi kwa wasanii nao ndio wanatupa usanii piana sio mbya mpoki nae kututumbuiza na COMEDY zake. Hivi ukisikia COMEDY za wenzetu huko West africa America, hapo kenya tuyuu Jamani mwependa nuna nuna sana eeee
nononoooo??? he was too much jamani.
wii mzima weweeee
so you have right to stop others to air their views?Hii mada tulishaimaliza kitambo kuwa Mpoki ni Janga katika sanaa.full stop
Mkuu mbona hasira ..si umechangia wamekuona ule ulikuwa mtazamo tu acha joto hasiraso you have right to stop others to air their views?
Halafu ingependeza zaidi ungeandika " kwa hiyo unayo haki ya kuzuia wengine kutoa mawazo yao " hayo mengine sijui AIR THEIR VIEWS waachie mwenyewe kina ngoswe .ni mtazamo tu usinitoe rohoso you have right to stop others to air their views?
Kwa hiyo watu wakitukanwa wewe ndiyo umetekenywa