bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Watanzania tukoje?Msaidie. Mchukue mpeleke hospitali, sasa kuja kumuanika humu JF itasaidia nini?
Jama ile tu kuleta hii post jf ni kamsaidia vya kutosha..Mimi mwezi wa tisa nilimpa huyo jamaa Tshs.5000 baada ya kuuona kwa mbali mguu wake huo nikamsogelea nakumpa..
Hivyo kama una uwezo wa kumsaidia msidie ila usihoji jamaa kuleta hii post jf.