fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,379
- 11,523
Usipende Ligi za Kijinga.., nenda kesho Ubungo halafu ulete Mrejesho hapa!
Uandishi wako tu unaonesha wewe kweli ni Mjinga.., unakumbuka ulichojibu Mwanzo? Najuwa Watu kama wewe huwa mnapenda Ligi za Kijinga ndo mana nilikwambia toka awali kwakuwa nafahamu fika huko ndo uliko!
Mimi sipo huko na sina Muda wa Malumbano na MTU kama wewe hivyo endelea na Ligi yako!
Sawa we mjanja uandishi wako wakutumia akili kubwa Sana!
Sio wa kawaida ni wa Phd holder!