rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,423
- 41,726
Maisha achaa tuu kakaaa...!! watu wanaigiza vilema hawana miguu kabisaa...kumbe matapeliiSasa huo mguu inakuwaje manake unaonekana mguu wote umevimba sasa hapo anatumia mbinu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha achaa tuu kakaaa...!! watu wanaigiza vilema hawana miguu kabisaa...kumbe matapeliiSasa huo mguu inakuwaje manake unaonekana mguu wote umevimba sasa hapo anatumia mbinu gani?
Usipende Ligi za Kijinga.., nenda kesho Ubungo halafu ulete Mrejesho hapa!Utaibiwa Sana wewe na ubishi wako mwambie unampeleka hosipitali alafu ulete mrejesho hapa!!!??
Nenda kesho Ubungo halafu ulete Mrejesho sio kufuata Mkumbo kama Nyumbu!Mkui we ni ndugu yake nn mbona wote hapa wamekataa kuwa sio mjonjwa bali ni ujanja huwa mnagawana mapato nn
Siku moja nikiwa pale Mwenge mataa nasubiri daladala ya Makumbusho, tuko abiria wengi...mara akaja mzee mmoja akiwa na box fulani hivi analitumia kujilaza chini aonekane ni ombaomba.Huyu jamaa anaendaga hospital. Siku nyingine unamkuta kidonda kisafi. Na alivyo ziro ananyanyua mguu ili kula mtu auone. In short dar kuna wasanii na wengine hutumia shida ndogo kama njia ya kipato. Kuna mmoja pale mbezi aliondolewa na Tanroad wakati wa ujenzi lakini akakataa na akawa na taka kumpa rushwa ya 5000 ili aachwe afanye kazi ya kuomba.
Mwingine kimara darajani kama unateremka polisi slope ya mwisho. Yeye hukaa na mtoto mdogo, yule mama hana tatizo lolote lile, juzi nimemkuta anauza chenchi kwa wapiga debe....
Mwengine mateja walimfukuza asikae darajani kwa sababu anajifanya hana mkono mmoja kumbe anauficha kwa ndani.
Matibabu ni HIYARI ya mtu mkuu. Ndio maana kuna matibabu ambayo ni lazima usaini kuridhia (mfano upasuaji mbalimbali).Msaidie. Mchukue mpeleke hospitali, sasa kuja kumuanika humu JF itasaidia nini?
Siku moja nikiwa pale Mwenge mataa nasubiri daladala ya Makumbusho, tuko abiria wengi...mara akaja mzee mmoja akiwa na box fulani hivi analitumia kujilaza chini aonekane ni ombaomba.
Akafika pale stendi, akalitandika lile box...akatafuta pozi zuri akajilaza, akaanza kuomba wapita njia. Alipoona hapati, akaamka akakunja box lake, daladala ilivyokuja na yeye akapanda kama abiria.
Nikajisemea moyoni mjini shule...babu mjanja. Mjini kumejaa waongo wa namna nyingi kiasi kwamba wale wenye shida kweli kweli inakuwa ngumu kusaidiwa.
Heroine ni shidaNdio maana unaambiwa kosa vyote ila usikose AKILI... kwake yeye anaona huo ndio mtaji wa kupata mia mbili mia mbili na haombei kabisa apone maana atazikosa hizo mia mbili mia mbili
jf sio kuanikana mzee patake radhi...Msaidie. Mchukue mpeleke hospitali, sasa kuja kumuanika humu JF itasaidia nini?
Kama anaweza kutembea kote huko katika kuomba...ikiwa ataweza kutibiwa bila shida anashindwaje kwenda hospitali?Msaidie. Mchukue mpeleke hospitali, sasa kuja kumuanika humu JF itasaidia nini?
Mjinga sana huyo bwn. mdogo. Halafu ni mguu wa kulia sio wa kushoto.Maana tokea nimeanza kumuona ni karibu Mwaka na zaidi