Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
Achana naye huyo. Hana kidonda wala usaha. Huwa kuna materials fulani wanazungushia mguuni au mkononi na mguu au huo mkono huonekana kama una kidonda kikubwa au usaha mwingi.
Hu ungekua usaha hata yeye asingepata nguvu ya kwenda kuzurula barabarani. Usaha usikie hivihivi tu.
............Ila wakuu huo mguu si umevimba?au ni mimi naona vibaya?!Hana kidonda wala jeraha. Anajifunga kipande cha nyama anakipaka manini sijui ndio kile kipande cha nyama kinaonekana kina usaha. Kama huamini siku moja jaribu kumchukua umpeleke hospitali uone matusi yake.