Huyu Mgeni Maajabu Saba Kipindi cha Mazungumzo ya Familia Radio One adhibitiwe kwa Mapungufu yake yafuatayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,694
109,128
1. Kupenda kutamka kila mara ( kuwaita Watu ) Wajinga.

2. Kupenda kutumia Maneno ya Kiarabu / Kiislamu Redioni kwani hasikilizwi na Waislamu wenzake pekee.

3. Aache Dharau

4. Aache Ujivuni

5. Aache kudhani kila ambaye bado hajafanikiwa Kimaisha kajitakia au ni Mjinga.

6. Apunguze Sifa zake za Kipuuzi

7. Aache Kulazimisha kwakuwa Yeye ni Sheikh na Daktari basi kila anachoamua Yeye ndiyo sahihi kwa Watanzania na Wasikilizaji wote..

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo daima huwa haikai na Uchafu hata kidogo.

Otherwise hongereni Radio One hasa Dada Farhia Middley, Mzee Haji Kibwana na Wengineo wote kwa kuwa na Kipindi chenu kizuri cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili Saa 1 na Nusu Asubuhi hadi Saa 4 Kamili na Mimi GENTAMYCINE nikiwa ni Balozi wake wa Kujiteua kilazima na huwa sikosi Kusikiliza Kipindi hiki pendwa na Kizuri ambacho sishauri Member yoyote wa JamiiForums awe anakikosa.

Imeisha hiyo......!!!!!!
 
aisee Leo kipindi kimekuwa ni kelele tuh,alafu kila saa anataka aonge peke yake kama yuko kijiwe Cha mataputatu. kauliza swali la kitoto kabisa Kwa waziri nafikiri waziri alibidi apige simu kudhibiti utumbo uliokua unaendelea
 
Namuona kama anaharibu kipindi hivi. Kipindi kinaanza kukosa mvuto, sijui huu ndio ubunifu gani kama si uharibifu wa kipindi?
 
Sasa kujitesa kote na kujipa taabu kusikiliza unayoona yanakukera,,,,na redio haipo moja na una uhuru kusikiliza na kuchagua yoyote ile ambayo unaipenda,,,alafu mbaya zaidi hao wanaokukera hawakujui,,huwasaidii chochote pia,,nawe vivyo hivyo kwa upande wao na usikute hata hawana habari nakukereka kwako,,,Badilisha stesheni ya redio au zima redio fanya mambo mengine unayoona hautakereka!!!Mtoto wa kiume wewe epuka kuongozwaa sana na hisia kwenye huu ulimwengu,,jitahidi mara nyingi uruhusu matumizi ya akili zaidi na ndio ukiongoze zaidi pia!!!Kaza Puru hiyo usipende na usitamani kuwa na malalamikolalamiko yasiyo na Maana!!!ShenNnzzzZZZ!!
 
Baada ya kumpigania kwa muda mrefu kwenye matibabu pale Hospitali ya Lutindi, Korogwe-Tanga! Hakika nimefarijika kuona hata sasa mdogo wangu Popo-maa anapata muda wa kusikiliza kipindi chake pendwa cha mazungumzo ya familia, cha Radio One!
 
Sasa kujitesa kote na kujipa taabu kusikiliza unayoona yanakukera,,,,na redio haipo moja na una uhuru kusikiliza na kuchagua yoyote ile ambayo unaipenda,,,alafu mbaya zaidi hao wanaokukera hawakujui,,huwasaidii chochote pia,,nawe vivyo hivyo kwa upande wao na usikute hata hawana habari nakukereka kwako,,,Badilisha stesheni ya redio au zima redio fanya mambo mengine unayoona hautakereka!!!Mtoto wa kiume wewe epuka kuongozwaa sana na hisia kwenye huu ulimwengu,,jitahidi mara nyingi uruhusu matumizi ya akili zaidi na ndio ukiongoze zaidi pia!!!Kaza Puru hiyo usipende na usitamani kuwa na malalamikolalamiko yasiyo na Maana!!!ShenNnzzzZZZ!!
Kuna vitu c vya kuumiza vichwa
 
Baada ya kumpigania kwa muda mrefu kwenye matibabu pale Hospitali ya Lutindi, Korogwe-Tanga! Hakika nimefarijika kuona hata sasa mdogo wangu Popo-maa anapata muda wa kusikiliza kipindi chake pendwa cha mazungumzo ya familia, cha Radio One!
 
aisee Leo kipindi kimekuwa ni kelele tuh,alafu kila saa anataka aonge peke yake kama yuko kijiwe Cha mataputatu. kauliza swali la kitoto kabisa Kwa waziri nafikiri waziri alibidi apige simu kudhibiti utumbo uliokua unaendelea
Ameshalewa Sifa na nadhani Dada Farhia Middley anavyokuwa Anarembua ukichanganya na Urembo wake huwa Vinamchanganya.

Abadilike upesi.
 
Huwezi kuandika bila kujitaja na kujisifia? You have serious ego issues dude.
Kuna mahala nawe Umezuiwa Kujitajataja hivyo kama Mimi GENTAMYCINE?

Najitajataja kila mara hapa JamiiForums kwakuwa jina langu / ID yangu ya GENTAMYCINE ni nzuri na inavutia Ulimini.

Sasa Wewe unaitwa Njabu Ngabu ambako Kikwetu ni Kinyesi Kibichi sasa utawezaje kila mara Kujiita hivyo?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Sasa kujitesa kote na kujipa taabu kusikiliza unayoona yanakukera,,,,na redio haipo moja na una uhuru kusikiliza na kuchagua yoyote ile ambayo unaipenda,,,alafu mbaya zaidi hao wanaokukera hawakujui,,huwasaidii chochote pia,,nawe vivyo hivyo kwa upande wao na usikute hata hawana habari nakukereka kwako,,,Badilisha stesheni ya redio au zima redio fanya mambo mengine unayoona hautakereka!!!Mtoto wa kiume wewe epuka kuongozwaa sana na hisia kwenye huu ulimwengu,,jitahidi mara nyingi uruhusu matumizi ya akili zaidi na ndio ukiongoze zaidi pia!!!Kaza Puru hiyo usipende na usitamani kuwa na malalamikolalamiko yasiyo na Maana!!!ShenNnzzzZZZ!!
Sawa Maajabu Saba ila naamini Ujumbe wangu umeupata. Hatukutaki katika hicho Kipindi kwa tabia yako ya Udini sawa?
 
Back
Top Bottom