Huyu member AshaDii yupo wapi?

Huyu member AshaDii yupo wapi?

Sizinga , Rejao, sumbai, wembeee, Watu8, jtwentytwo, Gobe, BadiliTabia, Ruttashobolwa, Afande Fojuman, annito, Raimundo, worldboss, LEGE & Aragon nawasalimu with Love… :grouphug:


adolay , nashukuru kwa kukumbuka hilo. Msiba wa Mtoi, ilikuwa pigo, ni pigo na itaendelea kuwa pigo. Uliniuma mno msiba wake. Lakini Inshaallah, Mungu ni mwema na everything happens for a reason.
Wengine ni Members watiifu wa lile kundi la Vijana 46 wa February Ma-Rope maarufu kama #TeamLumumbaBukuSabaFc. Kwa hiyo hua wanaibuka tu kipindi cha ile Miaka inayogawanyika kwa 5 kama vile 2000, 2005, 2010, 2015 etc.
 
There are these figures.......Maria Roza, Rose1980, Bacha, Afodenzi, Preta, Mchambuzi, Smile, St. Ivuga, St.Paka mweusi, Katavi, Samora09, Kaizer, King'asti, babu lao, ukwaju, nkoskazi na wengine ma-legend wengi.....yaani they real make JF a place of FREE STRESS ZONE......Bravo to them!
 
Naona leo ni full kukumbushana na kuitana majina miongoni mwa malegendary wa humu ndani.
JF ni sehemu ambayo najihisi nipo na familia ya watu ninaowajua ila sijawahi waona.
Pia kuna Husninyo, PakaJimmy, Nyani Ngabu, CHAI CHUNGU, Lara1, @Gajini.... Uuuuuuuuwii nahisi kama niendelee.
Ila nitarudi baadae niendelee kuwaita... Hao ni miongoni mwa watu ambao siwezipita kabsaa bila kusoma threads zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom