Huyu mdudu ana maana gani?

Huyu mdudu ana maana gani?

Ngoja tumwite mkurugenzi wa takwimu dr chuwa aje atuletee takwimu kuwa hawa wadudu wako kwa asilimia ngapi maana naogopa kuropoka hahahhaha!
 
Ni ishara ya Uongozi mzuri (bora) uliopo Madarakani, maana katika Utawala huu ndio tumeshuhudia Tetemeko (Kagera) kukamatwa (kupatwa) kwa Jua na sasa Mdudu huyo wa Ajabu...!

Waite watu wa Mali Asili wakamuhifadhi kama moja ya kivutio nchini..
Wonders shall never end! Maliasili waje wamchukue hahahaah
 
Mkuu,
Ana Majina Mengi huyo Mdudu, Kutegemea na Jamii husika.
Anaitwa Playing Mantis, Vunja Chungu,September 9 N.k
Wakati nakuwa tulicheza nae sana, Huwa wanapatikana sana kipindi cha masika.

Ni mdudu mstaarabu sana, hana papara wala Fujo, Watu wengi wanampendea ile style yake ya kujihami yaani ananesanesa na kuweka pozi za kung fu hivi, Inavutia sana.

Me Nina hamu nimuone maana sijamuona kitambo sana zaidi ya miaka 10 now.
 
Mkuu,
Ana Majina Mengi huyo Mdudu, Kutegemea na Jamii husika.
Anaitwa Playing Mantis, Vunja Chungu,September 9 N.k
Wakati nakuwa tulicheza nae sana, Huwa wanapatikana sana kipindi cha masika.

Ni mdudu mstaarabu sana, hana papara wala Fujo, Watu wengi wanampendea ile style yake ya kujihami yaani ananesanesa na kuweka pozi za kung fu hivi, Inavutia sana.

Me Nina hamu nimuone maana sijamuona kitambo sana zaidi ya miaka 10 now.


Huyu vunja chungu analiwa Iringa, yaani kama senene kwa wahaya.
 
Mi na wadudu vitu viwili tofauti, ningeshamuita mtu amuue kitambo
 
Nilivyoona tu rangi yake ya kijani nikajua ni balaa tayari, tafuta mwingine wa hivyo uwafungishe ndoa.
 
Nimeamk asubuhi nikakuta huyu mdudu yupo kwenye mawe jirani na mlango.... Nikiwa katika harakati za kutaka kumuua akatokea mwenyeji wa huku nilipo akadai huyo mdudu ni wa baraka nisimuue, hakuishia hapo akaongezea kuwa huyo mdudu ana akili kuliko binadamu na wachina wanaongeaga nao kwa ishara.

Kuna yeyote anajua kuhusiani na huyo mdudu atueleze.
View attachment 654917
Hakuna mdudu wabaraka wewe fanya kazi jitume muombe muumba wako ukitegemea wadudu na vinyangarika vingine bila kupiga kazi utalala njaa
 
Nimeamk asubuhi nikakuta huyu mdudu yupo kwenye mawe jirani na mlango.... Nikiwa katika harakati za kutaka kumuua akatokea mwenyeji wa huku nilipo akadai huyo mdudu ni wa baraka nisimuue, hakuishia hapo akaongezea kuwa huyo mdudu ana akili kuliko binadamu na wachina wanaongeaga nao kwa ishara.

Kuna yeyote anajua kuhusiani na huyo mdudu atueleze.
View attachment 654917

Hiyo picha ni ya toy mdudu au mdudu halisia? Weka na video yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom