"Nikiwa katika harakati za kutaka kumuua akatokea mwenyeji wa huku nilipo akadai huyo mdudu ni wa baraka nisimuue, hakuishia hapo akaongezea kuwa huyo mdudu ana akili kuliko binadamu na wachina wanaongeaga nao kwa ishara.".....,
MWISHO WA KUKUNUKUU.
Sasa kwanini usimuulize huyo Mwenyeji uliyemtaja akufafanulie zaidi?
MWISHO WA KUKUNUKUU.
Sasa kwanini usimuulize huyo Mwenyeji uliyemtaja akufafanulie zaidi?