Uongo kitu kibaya sana...
Pia, huwezi kwenda ukweni ukalala, hilo halipo...!! Alafu uamke asubuhi hata hukujui uanze mazoezi na umeenda kwa siku 2 au 3.. Alafu, ukiwa mzinzi, utatafuta support ya uzinzi huku ili moyo wako uone uko sahihi, unamsingizia mama mkwe, huenda umemuona, sasa umewaza hayo, unataka kumtongoza, sasa unataka michango ya watu huku uone itakuaje.. Huna akili ww, na sio mwanaume matured, ni mvulana, kata k..!!
To be frank with you, unasema uongo mtupu... mama mkwe hawezi kukwambia tukutane hoteli fulani... wakati hamjaongea chochote..
It seems ww ndio unamtaka, huenda umetumia kila mbinu, labda ashakuzoea, ukaanza mtongoza...
Na utakufa kibudu... keep on.. uchafu huu..!!