James_de_Pedro
Senior Member
- Aug 4, 2016
- 165
- 73
Acha udwanz ww uende huko kitokee nn
*_Wanawake bwana kwa kulalamika eti "ooh nimebeba mimba miezi tisa" Sisi mbona tumebeba mapumbu tangu wadogo na Adi Sasa hatulalamiki_*
*badilishen kauli*

hahahhaha you made my morning mkuu*_Wanawake bwana kwa kulalamika eti "ooh nimebeba mimba miezi tisa" Sisi mbona tumebeba mapumbu tangu wadogo na Adi Sasa hatulalamiki_*
*badilishen kauli*
Wana Jamvi kwema,
Niko Nyumbani kwa kina wife nimekuja kidogo kusalimia upande wa ukweni ni siku ya pili sasa nipo hapa ukweni, Wife anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo.
Sasa wakati naleta mahari ukweni mama mkwe aliniomba namba za simu mimi sikuwa na hofu nilimpa ni takribani miaka miwili kwanza nikili huyu mama mkwe ni mama wa mjini haswa alipochukua number nilianza mawasiliano nae.
Japo sikumpa attention wala sikuwaza kama ataleta hizi habari anazoniletea sasa, Jana nimeamka hapa ukweni nikaanza kuchukua mazoezi nje asubuhi sana huwa ni kawaida yangu nilishangaa mama mkwe anatoka na kanga tu kwenye fance.
Nilihisi aibu nikawa kama natroat aliniita tukasalimiana kisha akaanza kunisifia nilivyojengeka kimwili nilishangaa kwa kweli nilivuta picha na text zake za nyuma alizokuwa ananitumia mara moja nikajua huyu kadata na pengine pale kunikuta napiga tizi alikaa kidogo hapo nje na kurudi ndani mwanae asishtuke.
Sasa leo kanitext kuwa anamaongezi na mimi kesho saa nne asubuhi hotel fulani nimemjibu hivi mwanao atakuelewaje kanijibu nutamtuma sehemu naomba tukutane.
Nimemkomalia kumuliza kwani anashida gani adai ataniambia kesho, sasa wadau niende.
Mbona unareact kias hcho kwan mama mkwe kashamwambia kuwa wanataka kumegana??au ushacoclude kabla y muhusika mwenyewe??Mama Mkwe?
Haupo serious wewe.
Acha upumbavu. Pata picha ndo mama ako ndo anamegwa kisela na kijana wa rika lako.
Hahahahahaaa sensitive question of the day.Stories zakutunga tuuuu hizo.kwanza unalalaje ukweni
UnafikiriWana Jamvi kwema,
Niko Nyumbani kwa kina wife nimekuja kidogo kusalimia upande wa ukweni ni siku ya pili sasa nipo hapa ukweni, Wife anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo.
Sasa wakati naleta mahari ukweni mama mkwe aliniomba namba za simu mimi sikuwa na hofu nilimpa ni takribani miaka miwili kwanza nikili huyu mama mkwe ni mama wa mjini haswa alipochukua number nilianza mawasiliano nae.
Japo sikumpa attention wala sikuwaza kama ataleta hizi habari anazoniletea sasa, Jana nimeamka hapa ukweni nikaanza kuchukua mazoezi nje asubuhi sana huwa ni kawaida yangu nilishangaa mama mkwe anatoka na kanga tu kwenye fance.
Nilihisi aibu nikawa kama natroat aliniita tukasalimiana kisha akaanza kunisifia nilivyojengeka kimwili nilishangaa kwa kweli nilivuta picha na text zake za nyuma alizokuwa ananitumia mara moja nikajua huyu kadata na pengine pale kunikuta napiga tizi alikaa kidogo hapo nje na kurudi ndani mwanae asishtuke.
Sasa leo kanitext kuwa anamaongezi na mimi kesho saa nne asubuhi hotel fulani nimemjibu hivi mwanao atakuelewaje kanijibu nutamtuma sehemu naomba tukutane.
Nimemkomalia kumuliza kwani anashida gani adai ataniambia kesho, sasa wadau niende.
anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo
Yaani hujui kama baba mkwe wako ni marehemu ama lah!! Kuna Tatizo kwenye ndoa yako ndy maana unamtamnai mama mkwe wako.
Sio kizazi cha single momie kweli hichoMkomalie huyo mama uweke heshima kuanzia sasa, mueleze wazi kuwa unamheshimu sana na uso mbadilishie kabisa. Ukimchekea, ukimkimbia sijui heshima, anaweza kufunga virago kuja kukaa na nyinyi huko mliko, utakimbia nyumba?
Yani mkuu hujui hata babamkwe wako kafariki lini?? Unajua kilichomuua?? Wala usiende kuonana na huyo mama, mwambie umepata dharura kama vipi akuambie hayo maongezi kwenye simu...kimbia zinaa nduguWana Jamvi kwema,
Niko Nyumbani kwa kina wife nimekuja kidogo kusalimia upande wa ukweni ni siku ya pili sasa nipo hapa ukweni, Wife anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo.
Sasa wakati naleta mahari ukweni mama mkwe aliniomba namba za simu mimi sikuwa na hofu nilimpa ni takribani miaka miwili kwanza nikili huyu mama mkwe ni mama wa mjini haswa alipochukua number nilianza mawasiliano nae.
Japo sikumpa attention wala sikuwaza kama ataleta hizi habari anazoniletea sasa, Jana nimeamka hapa ukweni nikaanza kuchukua mazoezi nje asubuhi sana huwa ni kawaida yangu nilishangaa mama mkwe anatoka na kanga tu kwenye fance.
Nilihisi aibu nikawa kama natroat aliniita tukasalimiana kisha akaanza kunisifia nilivyojengeka kimwili nilishangaa kwa kweli nilivuta picha na text zake za nyuma alizokuwa ananitumia mara moja nikajua huyu kadata na pengine pale kunikuta napiga tizi alikaa kidogo hapo nje na kurudi ndani mwanae asishtuke.
Sasa leo kanitext kuwa anamaongezi na mimi kesho saa nne asubuhi hotel fulani nimemjibu hivi mwanao atakuelewaje kanijibu nutamtuma sehemu naomba tukutane.
Nimemkomalia kumuliza kwani anashida gani adai ataniambia kesho, sasa wadau niende.
Umetisha mkuuUkiweza mle ndogo.
Aisee acha tu ndio maana nikaomba hata Juma anipe 100 nikale zangu ugoroHata hajui kama ba mkwe kadanja au vipi, hii itakua chai tu