Huyu mama mkwe simuelewi

Huyu mama mkwe simuelewi

*_Wanawake bwana kwa kulalamika eti "ooh nimebeba mimba miezi tisa" Sisi mbona tumebeba mapumbu tangu wadogo na Adi Sasa hatulalamiki_*

*badilishen kauli*
hahahhaha you made my morning mkuu
 
Mkuu umentatza kusema unafkr baba yake kavuta long kidogo.. Inamaana huna uhakika, hata hujui kuhusu habar za mzaz wa mkeo kweli.. Mkiwa mnatunga hadithi muwe makin juu ya haya..
 
kanangaze.jpg
kanangaze.jpg
kanangaze.jpg
kanangaze.jpg
kanangaze.jpg
Wana Jamvi kwema,

Niko Nyumbani kwa kina wife nimekuja kidogo kusalimia upande wa ukweni ni siku ya pili sasa nipo hapa ukweni, Wife anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo.

Sasa wakati naleta mahari ukweni mama mkwe aliniomba namba za simu mimi sikuwa na hofu nilimpa ni takribani miaka miwili kwanza nikili huyu mama mkwe ni mama wa mjini haswa alipochukua number nilianza mawasiliano nae.

Japo sikumpa attention wala sikuwaza kama ataleta hizi habari anazoniletea sasa, Jana nimeamka hapa ukweni nikaanza kuchukua mazoezi nje asubuhi sana huwa ni kawaida yangu nilishangaa mama mkwe anatoka na kanga tu kwenye fance.

Nilihisi aibu nikawa kama natroat aliniita tukasalimiana kisha akaanza kunisifia nilivyojengeka kimwili nilishangaa kwa kweli nilivuta picha na text zake za nyuma alizokuwa ananitumia mara moja nikajua huyu kadata na pengine pale kunikuta napiga tizi alikaa kidogo hapo nje na kurudi ndani mwanae asishtuke.

Sasa leo kanitext kuwa anamaongezi na mimi kesho saa nne asubuhi hotel fulani nimemjibu hivi mwanao atakuelewaje kanijibu nutamtuma sehemu naomba tukutane.

Nimemkomalia kumuliza kwani anashida gani adai ataniambia kesho, sasa wadau niende.

YEYEEEEE
 
Mnajaza sana server za JF kwa hadithi zisizo haririwa vizuri.Eti "nafikiri"baba yake alishavuta kitambo,huyo ni make au ni hawa dada zetu wa mwendokasi?
 
Mama Mkwe?
Haupo serious wewe.
Acha upumbavu. Pata picha ndo mama ako ndo anamegwa kisela na kijana wa rika lako.
Mbona unareact kias hcho kwan mama mkwe kashamwambia kuwa wanataka kumegana??au ushacoclude kabla y muhusika mwenyewe??
unafelii mkuuuuu!!
 
Wana Jamvi kwema,

Niko Nyumbani kwa kina wife nimekuja kidogo kusalimia upande wa ukweni ni siku ya pili sasa nipo hapa ukweni, Wife anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo.

Sasa wakati naleta mahari ukweni mama mkwe aliniomba namba za simu mimi sikuwa na hofu nilimpa ni takribani miaka miwili kwanza nikili huyu mama mkwe ni mama wa mjini haswa alipochukua number nilianza mawasiliano nae.

Japo sikumpa attention wala sikuwaza kama ataleta hizi habari anazoniletea sasa, Jana nimeamka hapa ukweni nikaanza kuchukua mazoezi nje asubuhi sana huwa ni kawaida yangu nilishangaa mama mkwe anatoka na kanga tu kwenye fance.

Nilihisi aibu nikawa kama natroat aliniita tukasalimiana kisha akaanza kunisifia nilivyojengeka kimwili nilishangaa kwa kweli nilivuta picha na text zake za nyuma alizokuwa ananitumia mara moja nikajua huyu kadata na pengine pale kunikuta napiga tizi alikaa kidogo hapo nje na kurudi ndani mwanae asishtuke.

Sasa leo kanitext kuwa anamaongezi na mimi kesho saa nne asubuhi hotel fulani nimemjibu hivi mwanao atakuelewaje kanijibu nutamtuma sehemu naomba tukutane.

Nimemkomalia kumuliza kwani anashida gani adai ataniambia kesho, sasa wadau niende.
Unafikiri
 
anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo

Yaani hujui kama baba mkwe wako ni marehemu ama lah!! Kuna Tatizo kwenye ndoa yako ndy maana unamtamnai mama mkwe wako.

Mkuu nilitaka kunena uliyonena.Inakuwaje mtu hujui baba mkwe wako kama alifariki au la!!!Hii story ya kutunga ama huyo sio mke wake bali alichukua hawara wa bar wanaishi pamoja.
 
Mkomalie huyo mama uweke heshima kuanzia sasa, mueleze wazi kuwa unamheshimu sana na uso mbadilishie kabisa. Ukimchekea, ukimkimbia sijui heshima, anaweza kufunga virago kuja kukaa na nyinyi huko mliko, utakimbia nyumba?
Sio kizazi cha single momie kweli hicho
 
Hujajua alichokuitia bado hivyo nenda kamsikilize anasemaje na ukitoka pale ulete mrejesho hata kama atakuwa amekupa hati yake ya nyumba.
KUBALI WITO KATAA NENO, KAMSIKIKIZE MZAA CHEMA WAKO ATAKUWA NA KIZURI CHA KUKUAMBIA.
 
Wana Jamvi kwema,

Niko Nyumbani kwa kina wife nimekuja kidogo kusalimia upande wa ukweni ni siku ya pili sasa nipo hapa ukweni, Wife anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo.

Sasa wakati naleta mahari ukweni mama mkwe aliniomba namba za simu mimi sikuwa na hofu nilimpa ni takribani miaka miwili kwanza nikili huyu mama mkwe ni mama wa mjini haswa alipochukua number nilianza mawasiliano nae.

Japo sikumpa attention wala sikuwaza kama ataleta hizi habari anazoniletea sasa, Jana nimeamka hapa ukweni nikaanza kuchukua mazoezi nje asubuhi sana huwa ni kawaida yangu nilishangaa mama mkwe anatoka na kanga tu kwenye fance.

Nilihisi aibu nikawa kama natroat aliniita tukasalimiana kisha akaanza kunisifia nilivyojengeka kimwili nilishangaa kwa kweli nilivuta picha na text zake za nyuma alizokuwa ananitumia mara moja nikajua huyu kadata na pengine pale kunikuta napiga tizi alikaa kidogo hapo nje na kurudi ndani mwanae asishtuke.

Sasa leo kanitext kuwa anamaongezi na mimi kesho saa nne asubuhi hotel fulani nimemjibu hivi mwanao atakuelewaje kanijibu nutamtuma sehemu naomba tukutane.

Nimemkomalia kumuliza kwani anashida gani adai ataniambia kesho, sasa wadau niende.
Yani mkuu hujui hata babamkwe wako kafariki lini?? Unajua kilichomuua?? Wala usiende kuonana na huyo mama, mwambie umepata dharura kama vipi akuambie hayo maongezi kwenye simu...kimbia zinaa ndugu
 
Achana kabisa kijana na huyo mama mkwe ni laana kubwa sana!!!!!binti yake tu nadhani anakutosha!!!!
Alafu tabia yako ya kufanyia mazoezi ukweni uache kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom