Huyu mama mkwe simuelewi

Huyu mama mkwe simuelewi

*_Wanawake bwana kwa kulalamika eti "ooh nimebeba mimba miezi tisa" Sisi mbona tumebeba mapumbu tangu wadogo na Adi Sasa hatulalamiki_*

*badilishen kauli*
1. Hayo mapumbu yako yana kg ngapi naje unafamu mimba huwa inakuwa na kilo ngapi hadi mtu anapojifungua,

2. huwa unasikia kichefuchefu tangu umeyaanza kuyabeba hayo mapu***

3. Huwa unaishiwa damu

4. Huwa yanajigeuza geuza na kucheza yenyewe kama afanyavyo mtoto tumboni
 
  • Thanks
Reactions: EWM
1. Hayo mapumbu yako yana kg ngapi naje unafamu mimba huwa inakuwa na kilo ngapi hadi mtu anapojifungua,

2. huwa unasikia kichefuchefu tangu umeyaanza kuyabeba hayo mapu***

3. Huwa unaishiwa damu

4. Huwa yanajigeuza geuza na kucheza yenyewe kama afanyavyo mtoto tumboni
hili jibu limenishangaza na kunichekesha, ila katika hali ya kawaida hauwezi linganisha kubeba pumbu na kubeba mimba!
 
*_Wanawake bwana kwa kulalamika eti "ooh nimebeba mimba miezi tisa" Sisi mbona tumebeba mapumbu tangu wadogo na Adi Sasa hatulalamiki_*

*badilishen kauli*

Mapumbu ni sawa na mimba kumbe....
 
anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo

Yaani hujui kama baba mkwe wako ni marehemu ama lah!! Kuna Tatizo kwenye ndoa yako ndy maana unamtamnai mama mkwe wako.
Halafu anaishi kwa mama mkwe. Aibuuuuu. kweli wewe ni mvulana
 
I dont prefer dry fucki*ng i do it only for own wife, Thanks for ur advice what danger are u seeing?
You dont see any danger!!! that's why you are not sure if your father in law has actually passed away!!!
 
Stories zakutunga tuuuu hizo.kwanza unalalaje ukweni
Mimi pia nashangaa unaenda kusalimia ukweni na trainning kit? Siku ya pili tu upo nje uwanjani unafanya mazoezi?!!
Kuna kitu hakijakaa sawa ktk hadithi hii. Japo maajabu yapo duniani.
 
Huko ni kukosa adabu kwako. Utafanyaje mazoezi mpaka maungo ya mwili wako yaonekane. Tatizo ni wewe usimsingizie mkweo. Halafu ukweni tunaweza kushinda sio kulala
 
kwanza unalalaje ukweni? jiulize hili kwanza...halafu la kuzengewa na mama mkwe ndio lifuate.........then jaribu kumng'ata uone utakavyoivuruga hiyo ndoana yako kuuudaaadeki...
 
Mkuu bahati mbaya akitaka umkopeshe hela usikubali uo upande hawajopesheki ova
 
babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo

Hakukuambia kama baba alishatangulia mbele za haki?
 
Hahaa imenikumbusha kipindi nipo 823kj "mama mkwe ananipendaaa sasa nifanyeje!!? Mtoto tulia wewee!!kula mayai yake!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom