herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,962
- 3,189
Tutafute pesa tufurahie maisha
Ebo!!! Kumbe mbigili!!!!Ni shoga.anadanga pia.sema yeye sio wale wa uswahilini. Ni wa kishua halafu educated
Daah!HII NI ILE JINSIA YA KUNDI LA TATU
Ila sijaona Bata lolote analokula zaidi ya kupiga picha kwenye mali za watu.
Nilitaka niulize hivi huyu salama kweli?Labda ugay unamlipa
Aisee
Yesu wangu
SafiJamaa wa kawaida tu... Nimesoma nae o levelshule moja ya kata... Maeneo ya boko..
Anaishi basihaya.. Wakati anakuwa alikuwa na maisha ya kawaida sana..
Ila toka shule ya msingi alikuwa na tabia za kike.. Xompany yake yote ni ya kike..
Binafs najuana nae vizuri sana... Jina lake kamili ni aloyce michael..
Na rangi wanazochagua mimi huwa zinanishtua zaidi. Nikiishaona mwanaume anavaa pinki mmh.Aah wanafanya tuwahisi vibaya sasa, mwanaume rijali anavaa vizuri tu
Umesema kweli tupu.Ila sijaona Bata lolote analokula zaidi ya kupiga picha kwenye mali za watu.
Yani hivo vipensi mmmh,dasilamu bwana