Kwani wakipost shida ni nini?Unaweza pia kupost.Hawa watu wawili Bi blandina Njau na Veronika kundya ni kina nani hasa hapa nchini?
Wamekua wakipost magari ya kifahari na mafanikio sana sasa nijuzeni hawa ni kina nani na wanafanya mishe gani mjini?
Nawasilisha
Scammer hao hanawa kitu kujipromote wanaingiza wat7 mkenya ule ukanda Kwa pesa wako radhi kutoa hata mtu kafara haswa wanwakeKwani wakipost shida ni nini?Unaweza pia kupost.
Ila Vero mkorogo umekubali, angalia magoti yalivyo na rangi 2 tofauti.Kwani wakipost shida ni nini?Unaweza pia kupost.
Mh.Kama unaweza toa kafara watu ukatusua basi inabidi nifanye mpango na mimi nianze kupostScammer hao hanawa kitu kujipromote wanaingiza wat7 mkenya ule ukanda Kwa pesa wako radhi kutoa hata mtu kafara haswa wanwake
Hao kama was forex wana maish ya kawaida sana izo ni promo zisikutisheMh.Kama unaweza toa kafara watu ukatusua basi inabidi nifanye mpango na mimi nianze kupost
ulipotaja hiyo forever umenikumbusha kuna mwamba mmoja alinuka hela na ishu za trevo ye ndo alikuwa leader mkuu hapa bongo km ujuavyo hivi vitu vinakuwaga na msimu now anaweka cctv kwenye fensi za watu sijui ishu za trevo zilimuishia wapi.Wadau wa Forever Living, nenda TanHouse pale Victoria uone mambo zao...na wengine zaidi ya hao
Kivip anatafutwa nnulipotaja hiyo forever umenikumbusha kuna mwamba mmoja alinuka hela na ishu za trevo ye ndo alikuwa leader mkuu hapa bongo km ujuavyo hivi vitu vinakuwaga na msimu now anaweka cctv kwenye fensi za watu sijui ishu za trevo zilimuishia wapi.
nani amtafte ? kila mtu ana namna ya kupata mkate,Kivip anatafutwa nn
Zishapita ila hao wako mda mrefu na bado wapo sananani amtafte ? kila mtu ana namna ya kupata mkate,
nimejikuta tu ninemkumbuka coz we sikuhiz unaskia habaza za trevo hapa bongo na semina zao?
ulipotaja hiyo forever umenikumbusha kuna mwamba mmoja alinuka hela na ishu za trevo ye ndo alikuwa leader mkuu hapa bongo km ujuavyo hivi vitu vinakuwaga na msimu now anaweka cctv kwenye fensi za watu sijui ishu za trevo zilimuishia wapi.