Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Fanya maamuzi magumu!Haiwezekani mtu anahatarisha uhuru wako akawa bado rafiki yako.
Mkuu vumilia tu, kama analeta dame huyo huyo mmoja na habadilishi vumilia tu, kwani wanakuzuia nini mzee? Wewe huwa unaleta shemeji pia hapo?
By the way si kwa muda tu, mwakani mwambie a make sure anapata chumba maana hicho chako kutakuwa na issue utafanyia, ishia hapo hapo.