mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
ni juzi hata mwezi haujaisha nakutana tena na mdogo wangu/rafiki yangu ambae wakati nipo A level yeye alikua Olevel,,,yupo chuo kikuu fulani na amekosa acomodation...anatafuta chumba mtaani!!
nikaona nyumba yangu ina ukubwa wa kutosha na chumba cha ziada na kwa vile bado familia nikaona nimpe kijana chumba kimoja japo kw amuda usiojulikana..................
kijana akahamia!
Nilimpa condition za kuheshimu nyumba na mambo mengine kama hayo....
huwa sishindi nyumbani..kijana amegeuza nyumba kama ndio ameoa!!
ni kushinda ndani..sitting room kucheza vidali-po vyao..hadi uhuru wangu umepokonywa!!!
mbaya zaidi juzi jumamos saa 9 usiku akaja huyo mwanamke wake anagonga mlango....nikanyamaza..uisngizi ukanipitia...nikauliza kesho yake kwa hasira kwa nini vile...kijana anadai binti alikorofishana na mama yake akaamua aje!!
niambieni cha kumfanya huyu kijana...achilia mbali misosi na madrnks ambayo hayachukui raundi....
sitaki nionekane namuonea...
nikaona nyumba yangu ina ukubwa wa kutosha na chumba cha ziada na kwa vile bado familia nikaona nimpe kijana chumba kimoja japo kw amuda usiojulikana..................
kijana akahamia!
Nilimpa condition za kuheshimu nyumba na mambo mengine kama hayo....
huwa sishindi nyumbani..kijana amegeuza nyumba kama ndio ameoa!!
ni kushinda ndani..sitting room kucheza vidali-po vyao..hadi uhuru wangu umepokonywa!!!
mbaya zaidi juzi jumamos saa 9 usiku akaja huyo mwanamke wake anagonga mlango....nikanyamaza..uisngizi ukanipitia...nikauliza kesho yake kwa hasira kwa nini vile...kijana anadai binti alikorofishana na mama yake akaamua aje!!
niambieni cha kumfanya huyu kijana...achilia mbali misosi na madrnks ambayo hayachukui raundi....
sitaki nionekane namuonea...