Huyu kaka jirani simuelewi kabisa

Huyu kaka jirani simuelewi kabisa

Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo mengi maana muda wote anaongea na simu tu.

Nimewamiss wana jukwaa😍🙂‍↕️😔
Embu jaribu kumpima kwa kumpa shoo kisha uje utuambie kama ni rijali kweli ama analiwa na wenziwe
 
Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo mengi maana muda wote anaongea na simu tu.

Nimewamiss wana jukwaa😍🙂‍↕️😔
njoo tuchat
 
Mh! Ana demu wake nimemuona leo
Kuwa ama kutembelewa na demu hapa Bongo si kitu cha hajabu maana wasanii wa mapenzi wako wengi si kina Manara tu hata wasanii wetu walio wengi wako hivyo. Unakuta mwanamme ana demu wa nguvu anamuingiza chumbani kumbe anaenda kufilwa yeye (mwanmme).....Bongo kuna ujinga mwingi sana.
 
N
Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo mengi maana muda wote anaongea na simu tu.

Nimewamiss wana jukwaa😍🙂‍↕️😔
NA wewe unamtaka?
 
Kuwa ama kutembelewa na demu hapa Bongo si kitu cha hajabu maana wasanii wa mapenzi wako wengi si kina Manara tu hata wasanii wetu walio wengi wako hivyo. Unakuta mwanamme ana demu wa nguvu anamuingiza chumbani kumbe anaenda kufilwa yeye (mwanmme).....Bongo kuna ujinga mwingi sana.
Mimi nikishamuona mtu tu na demu wake huyo basi siwezi hata iweje
 
Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo mengi maana muda wote anaongea na simu tu.

Nimewamiss wana jukwaa😍🙂‍↕️😔
We binti mmbeya kweli bora hata ungekuwa mtanga.

Sasa mambo madogo hayo ya sms unakuja kutangaza wakati namba yako ulitoa mwenyewe. Pia unajua mtu mwenyewe huwa yupo bize na simu, ulitaka awe bize na nani sasa kama sio contact list yake na wewe ukiwemo

Mnyang'anye namba yako😎
 
Alafu mnalalamika wanaume wa kuolewa hamuwaoni! Kisha mnajianika Tinder, Tagged, Hi5, Badoo n.k kwa wasaka mbususu!
Afadhali ya hao! Kwenda kwa kina mwamposa nk nk, waganga wa kienyeji, hata kuwapa hela, mbaya zaidi mpaka nanihii! Hapo tu hawa warembo wanapotuchanganya!
 
Back
Top Bottom