Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Mmmhhhhhdada mbona kama maana unaijua lakin hutak kuniambia kaka yako
Mmmhhhhhdada mbona kama maana unaijua lakin hutak kuniambia kaka yako
Kwa kweli nimeipenda coment yako...Kwa hiyo hapo ukawa umemkomoa nani?
Huyo si ndiye yule uliyempenda ukawa unashindwa kumwambia ukaja hapa jukwaani tukakupa 'trick' za kumnasa?
Na sasa unataka tena 'trick' za kumkacha?
Kweli wanawake saa nyingine hata hatujui kuwa tunataka nini...
Tunashangaza..!!!
ha ha ha ha nin shida dada nmeamin hujui kwa kwel acha nmuulize mwenye mada yakeMmmhhhhh
miaka kadhaa mbali,december tu,naw ngoja agegedeke kwanza wakichoka watupe kule ndio akili zitamjia naw anafurahia ka uhuru alikojipatiaBaada ya miaka kadhaa utaanzisha thread ya kutafuta mume
vipi mrembo naweza kukuchumbia ,mahari shingapi watanidai kwenu, je tunaweza tukafunga ndoa ya mkeka ,vipi unaweza ukala kipolo cha ugari asubuhi au je unaweza ukalala kwenye mkeka bila shaka umekubali weweeeeeeeeeeee machizi ndoa yangu kesho na emmyta.Hahahaaa! We mdada wewe naona unazidi kumpoteza.
Kabisa kaka hujakosea.ha ha ha ha nin shida dada nmeamin hujui kwa kwel acha nmuulize mwenye mada yake
poa tu kwa kukaushia maswali yangu aina noma nalia na mengi ikiwamo wewe.Kabisa kaka hujakosea.
Ana masihara huyu mkuuBwana weeee
Ujana bado unamsumbuabado ni mtoto mdogo kwnye mapenzi uyo sishangai bado ajakua ipo siku atarudi analia kwa uyo mwanaume mm coni ubaya sasa mtu ujamfuma anakukucheat ujamuona ana chepuka anania nzuri ya kutaka kukuoa afu unanza mfanyia ushenzi eti kisa anapigiwa cm na wanawake atakuja juta uyo kiukweli ajajifunza aijui dunia uyo maisha ni safari ndefu sana...
Shukurani zikufikie mkuuHeshima ikurejee mkuu....
Tumsubiri kule love connectMbona umempa muda mrefu sana?
Ni mwaka huu huu atarudi hapa...
Let's wait and see..!
Tumsubiri aseeHuwa wanajidanganya wakiwa chini ya 25, ngoja agonge 28 uone thredi humu mfulilizo.
Mungu atusaidie aseeAiseeh nimecheka kwa sauti,ndio zao hawa watu.
HahahahHivi nimekukosea nini? Huku kunipotezea nani kakufundisha?
Nimwachie Mungu?
Atakuja na ile kauli 'all men are dogs'miaka kadhaa mbali,december tu,naw ngoja agegedeke kwanza wakichoka watupe kule ndio akili zitamjia naw anafurahia ka uhuru alikojipatia
Ana masihara huyu mkuu
Ujana bado unamsumbua
Shukurani zikufikie mkuu
Tumsubiri kule love connect
Ila kwa ID mupyaaa
Tumsubiri asee
Mungu atusaidie asee
Hahahah
Tumuachie Mungu
Sema mkuu,sijakupotezea bhanaa
Atakuja na ile kauli 'all men are dogs'
ni kweli mkuu
Na alivyo mjanja kakaa kimyaa kama hayupo vile.Mbona hu Sound kama humtaki unajishaua tuu? kama kweli ni mwanamke na akiwa hataki kitu mbona njia nyingi sana zakumkataa tena wala hufundishwi,ebu sema kweli what are your motives behind this Topic?
Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi
Isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni
Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.
Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake