Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

Maana yake kuropoka weee
aisee nmejaribu kupitia vitabu mbal mbali kwenye maktaba yangu ila sjapata tafsir mubashara wa hilo neno embu nsaidie kidogo ili nalo tuliongeze Kutomboka maana yake nin?

Numbisa nsaidie maana ya hili neno huwz jua neema ikakusogelea
 
Takataka ww ulivyomkubalia na pengin ulivyokuwa wamchuna ulitgmea nn.... Bora umuache kilazma mana cku tongotongo likmtoka ataumia xana.... Wambie ndugu zake humtaki kakayao
 
Kumdanganya mtafiti ni kosa la jinai..

You have been warned...

Cc: mtafiti Bonny kwa taarifa
kumbe sio tafsir yake aisee amefanya kosa ambalo lingesababisha tudanganye dunia nzima,

mfano il chapter ya nne sura ya 65 hulka na tabia za wanawake kuroporopoka ningesema hulka na tabia za wanawake kutomboka
 
yeye ndo kanifanya nichepuke na ilikuwa c lengo langu
Kwahiyo Ikitokea hata huyo wa utotoni akichepuka
Nawe utakuwa hivyo? Unadhani utaliwa na wangapi kwa staili hiyo? Wanawake sijui akili zenu zikoje..
 
Kwani we huwa unapiga kelele mkiwa chumbani
 
Wewe ndoa hutoiweza labda mwanaume ashuke toka mbinguni, nakushauri uwe single mother maana kwa tabia zako za kupekua simu za wapenzi wako hutaweza maisha ya ndoa
 
Hivi kuachana ni jambo gumu hivyo?!!

Especially kwa maelezo haya uliyotoa hapa?

Labda kama nyie ni watoto bado au hadithi ya kutunga tu.
 
Waeleze wazazi wako kuwa humtaki huyo mtu, hiyo itaanya wakija kutoa mahali wazazi wako wataikataa na hapo ndo utakuwa kufuta uchumba kabisa.. Hili suala lishafika ngazi za juu kwakuwa wanakuja kutoa mahali, njia pekee ni kuua uhusiano kupitia kwa wazazi tu
wazazi nilishawaambia wamekataa
 
Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi

Isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni

Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.

Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake
Hii ni story tuu haina uhalisia wowote
 
Alafu mwisho wa siku unakuja hapa na thread Wanaume wa siku hizi sio waoaji wkati mtu ana onyesha nia wewe unafanya makusudi kwenda kuliwa oroda na mwingine. Mwisho kumbuka kila kitu kina ujira wake mwisho wa siku
 
eff8eab72c0cc6400c29449a6db92f26.jpg
Na kweli.....Naaminii hilii
 
Back
Top Bottom