Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

Chukuliwa na huyo uliyefanya nae usaliti na potea naye mojamoja ili uepukane na hicho usichokipenda.
 
apo nadhani mmekutana yani si yeye si wewe wote mna matatizo mazito.
utoto unawasumbua hamko tayari kwa ndoa
 
sitosahau maneno ya mzee wangu'kosea vyote ila sio kuoa'
 
Unasikia kaka angekuwa wa kutaka ushauri angekuja kabla hajenda huko anakokuita kutomboka sasa ameshatomboka na ameshatutangazia kwamba ameshatomboka unadhani utamshauri nini hapo?
Tumshauri aendelee kutombokA hadi basi
 
Mshawishi Aje Jamiiforums aone ulichokiandika. Na umuhakikishie kabisa kuwa niwewe ulieandika. Atajiongeza tu.
 
Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi

Isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni

Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvafuta mwanai ukaanzia hapo.

Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake
tafuta mwanaume mwingine tena bosi wake mwambie alete mahali, siku ya kwenda kulipiwa mahali muombe nauli na hela ya matumizi. aipiti wiki utamkuta kajinyonga kama yule dogo wa tanga. hapo utakuwa umemaliza kazi.
 
yeye ndo kanifanya nichepuke na ilikuwa c lengo langu
Unashindana na mwanaume sasa uyo wa utotoni akichepuka na we unachepuka mkiachana utaenda na wa secondary akichepuka na we unachepuka mkiachana wa mitaani kwenu akichepuka na we unachepuka papuchi yako mama
 
Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi

Isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni

Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.

Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake
Wewe ni msaliti tu wa siku nyingi japo huyu boya amekuwa kipofu kwa penzi lako,yaani umkere mtu na mpeni wako wa utotoni,think it over girl,hata ukiolewa utarudi kwa mpenzi wako wa utotoni,si akuoe kama anakupenda?Wewe utakuja humu unalia kuomba msaada huko unako kwenda,sikulaumu kama huyu mtu ni msaliti,just tell him its over and don't listen to him,lakini unapoenda kwa mpenzi wako wa zamani kumkomoa huyu,unaikomoa chai kwa kuijaza sukari!nakuombea mafanikio katika huo mpango wako mpya,pliz use a condom!
 
Ukiona kupe kang'ang'ania sehemu ujue kuna damu
Labda anasafiria nyota yako ndo maana anakung'ang'ania, hebu jichunguze na umchunguze na yeye kwanza
 
Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi

Isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni

Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.

Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake
Pauka pakawa...........hadithi zetu
 
eff8eab72c0cc6400c29449a6db92f26.jpg
word
 
Back
Top Bottom