lameck gabriel
Member
- Oct 13, 2012
- 13
- 8
Unajua kuwa mungu yupo na unajua kuwa unayoyafanya ni kinyume na mafundisho
Unachepuka ili umkomeshe?unajikomesha mwenyewe Dada yangu.kata mawasiliano ya cm pia taratibu za kuposa zinajulikana,utaulizwa unamfahamu sema ndio ila sipo tayari kuolewa naye.mbona mambo madogo sana .Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi.
Isitoshe siku ya J2 ya wiki hii anakuja kutoa mahari na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki.
Nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni.
Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.
Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane, nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake.
Nimecheekaaa!Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi.
Isitoshe siku ya J2 ya wiki hii anakuja kutoa mahari na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki.
Nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni.
Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.
Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane, nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake.
kwel hii kitu ukikosea ni sawa na kuishi na adui nyumba mojaaisee, unaambiwa ktk maisha usikosee kuoa au kuolewa
ha ha haToa 0713 kwa mwanaume wako wa utotoni na mjipige mapicha mtume kwenye magroup ya wasup...kama bado atakupenda kwa hiyo kitu basi huyo ni shetani kubali tu kuolewa naye