Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

............. ukiangalia mwanamke usishindane na mwanaume hata ckumoja mapenzi ayaitaji ushindani ......................................................................................................................
Ushindani kwenye mapenzi mara nyingi unapelekea anguko takatifu la penzi husika.
 
Nenda kafunuliwe tu. Usisahau na kufumuliwa pia.

Ukipeleka watu wanafumua si umeipeleka mwenyewe.
 
............. ukiangalia mwanamke usishindane na mwanaume hata ckumoja mapenzi ayaitaji ushindani ......................................................................................................................
Ushindani kwenye mapenzi mara nyingi unapelekea anguko takatifu la penzi husika.
 
yeye ndo kanifanya nichepuke na ilikuwa c lengo langu
Kwa hiyo hapo ukawa umemkomoa nani?

Huyo si ndiye yule uliyempenda ukawa unashindwa kumwambia ukaja hapa jukwaani tukakupa 'trick' za kumnasa?

Na sasa unataka tena 'trick' za kumkacha?


Kweli wanawake saa nyingine hata hatujui kuwa tunataka nini...

Tunashangaza..!!!
 
jaribu kumuelewesha kuna njia nying za kumuacha mwanaume na sio kujidhalilisha namna hyo
Unasikia kaka angekuwa wa kutaka ushauri angekuja kabla hajenda huko anakokuita kutomboka sasa ameshatomboka na ameshatutangazia kwamba ameshatomboka unadhani utamshauri nini hapo?
 
Sasa kwamtindo huo Dada yangu siwatakuchovya wengi?sababu hatahuyo wazamani mudawote huo sianawake nae?ukija kujua siutatafuta mwingine?hiyo siitakua 1,2,3,4,5,6,elewa hiyo nihesabu itaendelea tu,Fikiri labla ya kuamua!UCHI haulipizwi Kwa UCHI,UCHI unalipizwa kwa vikao vya watu wawili tu yani wewe uliokosewa na yeye alie kukosea-eeeeeeeee shauri yako wafwaaaaaa
 
Niko kwenye mahusiano ambayo ki ukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi na isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane ataki nifanye nini ili achane na mimi na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni na nilimpa taarifa kuwa naenda kutomboka na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo. naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana nae ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakacho muumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake

Hela yake unakula.
 
Eee Mungu tujaalie wanawake wenye ustaarabu na fikra jengefu ili tupate kuwaoa...
 
Back
Top Bottom