Na hili la nyie kuwa bilioni 5 bado unaleta maringo,hatukuchagulii maisha ila kuku wa kienyeji hata umnyaje haachi tabia zake.Niko kwenye mahusiano ambayo ki ukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi na isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane ataki nifanye nini ili achane na mimi na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni na nilimpa taarifa kuwa naenda kutomboka na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo. naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana nae ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakacho muumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake
Hahahaa! Hata sijui ni kufanyaje kwa kweli.kwan kutomboka maana yake nin dada?
Hahahaa! Hata sijui ni kufanyaje kwa kweli.
Au unaijua maana yake kaka?ha ha ha ha dadaaaaa
Hivi nimekukosea nini? Huku kunipotezea nani kakufundisha?Baada ya miaka kadhaa utaanzisha thread ya kutafuta mume
naweza kuijua maana yake ila sasa inaweza ikapingana na ya mtoa mada...Au unaijua maana yake kaka?
Hahahaaa! Haya bwana.naweza kuijua maana yake ila sasa inaweza ikapingana na ya mtoa mada...
aisee nmejaribu kupitia vitabu mbal mbali kwenye maktaba yangu ila sjapata tafsir mubashara wa hilo neno embu nsaidie kidogo ili nalo tuliongeze Kutomboka maana yake nin?
dada mbona kama maana unaijua lakin hutak kuniambia kaka yakoHahahaaa! Haya bwana.
Mkuu....
Naona umeshindwa kujizuia...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()