Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
[/B]
Kuweni wavumilivu watanzania, Rais wenu hana experience kwenye post yake ya sasa, hajawahi kuwa Rais before kwahiyo on job training haiwezi kukwepeka hapa!
Wakudata! Kwanza huyu rais ni wa kwako pia! So ni 'rais WETU' not 'rais wenu' Pili, hakuna mtu ambaye alikuwa ana expereince ya kuwa rais and that's what advisors are for. Ndiyo maana kuna speechwriters na madudu yote. Sasa kama unaamua kwamba huhitaji mwongozo unaenda kujiongelea tu na kupayuka hovyo ujue hakuna wa kukutetea. Nyie fanyeni mchezo kuna siku atadeclare vita na nchi nyingine kimzaha tukajikuta tuko vitani! ohooo!
Mi nimechoka kuambiwa eti tumpe muda eti anajifunza.
Whatever qualms we may hve about BWM lakini jamaa alipoingia kazini alijua what to do na alichapa kazi esp miaka 5 ya mwanzo!
Mwungwana tatizo ni mtu wa pwani katuliiiia anajua yuko na mabesti saa zote!