Habari zaidi endelea hapaJK awaonya viongozi walafi
03 Dec 2007
By Maura Mwingira, Kibaha
Rais Jakaya Kikwete, amewatahadharisha viongozi wanaojigawia miradi ya wananchi maskini kuwa wasipoacha tabia hiyo atawataja hadharani.
``Naomba tuelewane kabisa Mkigawana miradi ya maendeleo ambayo imelengwa kuinua maisha ya wananchi maskini na kuwapatia kipato, mtakiona cha mtemakuni nitawasema hadharani mbele ya wananchi,`` alisisitiza.
Alitoa tahadhari hiyo jana baada ya kuelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Bi. Christine Ishengoma kuhusu mradi wa ugawaji wa miche ya miembe inayozaa kwa muda mfupi kwa wakulima maskini katika wilaya za mkoa humo.
why don't u hang ur self?Somebody please.. hang me!!
Somebody please.. hang me!!
why don't u hang ur self?
Habari zaidi endelea hapa
"Vitisho vya kitoto" vya aina hii ungeweza kuvitarajia kutoka kwa kiranja wa darasa kule shule ya msingi,kwamba "atakayeendelea kupiga kelele nitamwandika,au kumtaja kwa mwalimu..." lakini sio kwa kiongozi wa nchi tuliyempa wadhifa wa urais.Kwahiyo akishatutajia hadharani kifuatie nini?Tuawazomee?Tuwapige mawe?Au TAKUKURU ndio waamke usingizini kuwachunguza?Hivi huyu mtu hana mtu anayemsaidia kuandaa hotuba zake?Anyway,pengine atakapoamua kutaja hao wanaogawana miradi atatutajia pia na wala rushwa alodai anawafahamu lakini anawapa muda wa kujirekebisha.Kaaazi kwelikweli
Habari zaidi endelea hapa
"Vitisho vya kitoto" vya aina hii ungeweza kuvitarajia kutoka kwa kiranja wa darasa kule shule ya msingi,kwamba "atakayeendelea kupiga kelele nitamwandika,au kumtaja kwa mwalimu..." lakini sio kwa kiongozi wa nchi tuliyempa wadhifa wa urais.Kwahiyo akishatutajia hadharani kifuatie nini?Tuawazomee?Tuwapige mawe?Au TAKUKURU ndio waamke usingizini kuwachunguza?Hivi huyu mtu hana mtu anayemsaidia kuandaa hotuba zake?Anyway,pengine atakapoamua kutaja hao wanaogawana miradi atatutajia pia na wala rushwa alodai anawafahamu lakini anawapa muda wa kujirekebisha.Kaaazi kwelikweli
Habari zaidi endelea hapa
"Vitisho vya kitoto" vya aina hii ungeweza kuvitarajia kutoka kwa kiranja wa darasa kule shule ya msingi,kwamba "atakayeendelea kupiga kelele nitamwandika,au kumtaja kwa mwalimu..." lakini sio kwa kiongozi wa nchi tuliyempa wadhifa wa urais.Kwahiyo akishatutajia hadharani kifuatie nini?Tuawazomee?Tuwapige mawe?Au TAKUKURU ndio waamke usingizini kuwachunguza?Hivi huyu mtu hana mtu anayemsaidia kuandaa hotuba zake?Anyway,pengine atakapoamua kutaja hao wanaogawana miradi atatutajia pia na wala rushwa alodai anawafahamu lakini anawapa muda wa kujirekebisha.Kaaazi kwelikweli
Mbona sioni constructive criticism hapa? labda mkuu wa kaya katoa kauli hiyo kulingana na upeo wake (pamoja na timu yake)wa kufikiri. Tumsaidieni jamani ili next time ajue nini kinapaswa kusemwa aki encounter similar situation.
Jamani mbona mnakuwa wagumu kumzoea rais wenu?? mpaka sasa ametoa kauli kali nyingi tuu
1. nawajua wauza madawa ya kulevya, nina majina yao nawapa muda na nitawakomesha
2. Nitahakikisha kuwaletea maisha bora kwa kila mtanzania.
3.Viongozi wenye mali kuliko uwezo wao watakiona cha mtema kuni
4. nawajua wala rushwa wote wa nchi huku akikiri utajiri wa wawatanzania upo mikononi mwa watu wachache sana.
ohh and the list of this "matamko makali" will go on and on ila sasa utekelezaji wake ndio tatizo.
Nahisi ana syndrome ya kutamka wakati hamaanishi. Na vyombo vyetu vya habari navyo vina syndrome ya kuwa kama magnifying glass. Mf rais akisema kuwa nasikitishwa na baadhi ya wala rushwa , kesho magazeti yataandika RAIS AKASIRIKA SAAAAANA NA TABIA YA RUSHWA.
jamani mzoeeni kwake ni rahisi kusema when he doesnt mean it.
sasa leo watakaofuja hela za maendeleo wataona cha mtema kuni. LOL heri nicheke ie coz walao pia wanajua hilo ni kama tamko tu utekelezaji wake ni mgumu kwa kuwa mtmkaji amezoea kukemea bila action.
Please Mr. president start living up to yor words.
Jamani mi nimeamua kwamba nikikasirika na kuchukia nitawehuka! Sasa nimeamua kucheka kwanza, nakusanya data alafu .... itabidi niifanyie kazi. Yaani tulikuwa tunawacheka wamarekani kwamba wamepata Bozo Bush, lakini sisi ... ni hasara tupu! Hebu endeleeni kushusha utirio, naomba Moderator iunganishwe na Kikweteism thread ya Mzee Mwankijiji ili nipate zile gaffes zoooote!
Wakudata: Huyu rais hawezi kufanya training on the job! Wala hakuna cha kumshauri! Awapishe wengine 2010. Chadema MPO?
Good job Jambo forum!
Mbona sioni constructive criticism hapa? labda mkuu wa kaya katoa kauli hiyo kulingana na upeo wake (pamoja na timu yake)wa kufikiri. Tumsaidieni jamani ili next time ajue nini kinapaswa kusemwa aki encounter similar situation.