Kuna siku atakunasa tuNapenda watu kama wewe, nilishajieleza mwanzoni kabisa kwamba mimi nimepita njia moja na M23 na wananiita madam, sasa kuna watu kama wewe mnachukulia poa wanawake, sina shida ya pesa mimi, ila naona dharau zimezidi, nataka aonyeshe uanaume wake sasa
Hapana yeye ndo anadinywa na wadinyadiMbona mwandiko kama wa kiume?
ni vizuri kua wangwana kidogo kwenye maisha, mtu anaweza asikufae leo, ila kwasababu ya life dynamics ukamkumbuka na akakufaa wakati muafaka.Mwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅
Mpe salamu, nilifurahishwa sana na huduma yake, bata akasome.Aida ni binamu yangu, nampenda sana
Shikilia hapo hapo ili iwe funzo kwa mafala wengineKibenye hapati
Kwa hiyo unanunuliwa na wasioendesha IST Orait?Huwezi ninunua mimi wewe,muendesga ist
mdhamini mmoja kapumzikaaa na huyo mwingine anasema vipii 😅
mdhamini mmoja kapumzikaaa na huyo mwingine anasema vipii 😅View attachment 3669899View attachment 3669900
Unajitetea sana lakini hadi unatupa mashaka ndugu zakoKwanza mi sahivi sipo Dar
Umeamua kuja kuanika hapa siyo, nishajua siri yako...!! Ngoja uende ...nakuwekea keupe daadekiMwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅
Toa mzee baba,Enzi za JK kuna Bro alitoa Bmw X6 pale mikocheni warioba na akawa bado anasumbuliwa na bibie.Sio Mimi.