allow cp
JF-Expert Member
- Aug 15, 2026
- 798
- 2,523
huenda maana na mie nasikia tuHakuna kitu kama hicho, hii n kwa ajili ya kuogopeshana tuu
huenda maana na mie nasikia tuHakuna kitu kama hicho, hii n kwa ajili ya kuogopeshana tuu
Nimecheka sana aseehbaadae unarudi na nyuzi za "nina miaka 40 natafuta mwenza tumalizie maisha" . Endelea kuruka ruka
Hii ndio jf kamanda, tego kabambe hilo, kuna kiumbe mwingine ataingia kingi sio muda.Mbona mwandiko kama wa kiume?
Mwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅