Huyu harudii tena

Huyu harudii tena

Ndiyo huyu jamaa nini?👇

 
Mwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅

Sawa. Haina Shida...Sisi ni People tutakutana...Sirudii Tena. Nisamehe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom