mdhamini mmoja kapumzikaaa na huyo mwingine anasema vipii 😅View attachment 3669899View attachment 3669900
Usiombe kukutana na watu wa namna hii, they're stupid from head to toe!
Unadinywa?Mwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅
Umetoa wapi nguvu ya ku comment hata arobaini haijafika.ni vizuri kua wangwana kidogo kwenye maisha, mtu anaweza asikufae leo, ila kwasababu ya life dynamics ukamkumbuka na akakufaa wakati muafaka.
Ni vizuri kua wakweli kuliko kupretend maisha ili mtu akukimbie.
ukimtaka au kumkataa mtu mwambie ukweli na sio kumpakazia, ni usawa wa ukweli na uwazi by JeyD.
kuwekeza in friendship or relationship kunahitaji ustaarabu na discipline zaidi kuliko sense of perfections 🐒
😅😅😅 huyo kwanza unawai kurudi nyumbani ukute chemistry imekubali kati yenu, hata hela utaanza pata nyingiShabashhhh!
Imagine huyu anakuita " babe zima taa tulaleeeee...."
wajibu wangu ni kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu gentleman regardless ya 10, 20, 30 au 40🐒Umetoa wapi nguvu ya ku comment hata arobaini haijafika.
Mm n yatima, kwahy hata mm nikikutongoza utaninyoosha?Mwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅
Hakuna kitu kama hicho, hii n kwa ajili ya kuogopeshana tuu
Kuna karma nasikia
Yani kama mmefikia kwenye hotel na asikutombe, bc huyo jamaa n zaidi ya falaKibumbu hapati, na hapa nimetangulia kufika kwenye hoteli naona kaja sijui na probox , sasa nikimuaga nataka anisindikize kwenye usafiri wangu , nakwambia huyu harudii tena
Na mm naunga mkono hili, wapumbavu dawa yao ni kunyooshwa tuuKama umelipata lizezeta la uchi, wewe lipasue tu. Majinga ni mengi.
Ni kweli nimejuta lkn pesa yangu haiendi kidhembe napiga uchawi wa bwido hutakaa unisahua maisha,ngoja utalipa zaidi ya ×100 ulicho tumia hicho wewe jiongereshe tuMwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅
Ila nn bro, mm naamini huyu mtoa mada alishaonyesha red flag Kwa Jamaa, Ila labda jamaa akakaza fuvu, ngoja anyooshwe tuuUsiombe kukutana na watu wa namna hii, they're stupid from head to toe!