Huyu harudii tena

Huyu harudii tena

Kwahiyo kamdinyo na wewe umejiona mjanja sana eti 😂😂😂

Utakuja kunasa tu tena kiboya sana. Halafu mjanja huwa hana kelele lakini mambo ya falagha umeyaanika hadharani na umejiona champion siku ukipigwa tukio usisahau kuleta mrejesho
 
Mwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake
Maandiko yanasema mmepewa bure toeni bure
 
Mwanajamii forum leo anaacha ndala na mbususu hapati.
Mmezidi kuja pm kutongoza, sasa nampa somo hatarudia tena.
Nimempiga bili za maana hadi huruma😅😅 .kivyovyote vile namuona kabisa anajuta kunifahamu, mi nachekea tumboni tu hapa, lazima akasimulie kubabake😅😅😅
Sasa Kamdinyooo Siri ni yenu halafu wajaimwaga humu sasa ,huoni utaweanyima fursa na wengine kwa kumwaga mchele hadharani.Mfano angepata Kamdinyo bado ungekuja simulia,😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom