Kama unampenda mwambie hutamuumiza. peengine anaogopa huo u handsome wako utapendwa na wengi
Shantel amwambie wapi wakati uwezo huo hana na hata kama uwezo anao dem kashamuona hana mpango na majigambo hayo kuwa ni handsome ameenda south amekuwa sponsored na state house na ashakuwa minister pale UDOM duh na mengine mengi