Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
kanikera! Sasa analeta picha mbaya kwa JF bwana kuwa UDOM wanamaliza vilaza kumbe kuna watu wako fiti! Asingetaja jina la chuo...afu mbona serikali nzima UDOM walikuwa c maHB kivile mpaka ajitamue hapa bhana!Hahahahah Sabry mvumilie kidogo maana naona anajiboost watu wajue ni handsome na kama kupata wachumba apate