huyu dada vipi,siriaz nisaidieni jamani

Hahahahah Sabry mvumilie kidogo maana naona anajiboost watu wajue ni handsome na kama kupata wachumba apate
kanikera! Sasa analeta picha mbaya kwa JF bwana kuwa UDOM wanamaliza vilaza kumbe kuna watu wako fiti! Asingetaja jina la chuo...afu mbona serikali nzima UDOM walikuwa c maHB kivile mpaka ajitamue hapa bhana!
 
Atapata ya moja kwa moja si yupo education maana hao ndo waliomaliza chuo hao wengine si walifukuzwa ndo wanapiga paper toka juzi.
Education haiwezi toa ji2 jinga hv bhana. Huyu atakuwa anasoma BA CHINESE AU ARABHIC
 
Hahaha ingawa moyo hausemezeki kwa kitu unachokipenda lakini huyo dada hakufai achana naye wamejaa tele kama pishi ya mchele.utampata mwengine
 
Hahaha ingawa moyo hausemezeki kwa kitu unachokipenda lakini huyo dada hakufai achana naye wamejaa tele kama pishi ya mchele.utampata mwengine
 
una jisia ujinga Mahandsome wanajisifia????????????????????? au kapuku tu acha habar zako wwwwwwwwwwwwww!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
achana na mbio za panya rat race!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,
Duuh!! Hivi ndivyo wasomi wa siku hizi mnavyoandika? Nimesoma kichwa cha mada na uliyoandika Hayaeleweki kabisa. Hata mtiririko wa mada haujulikani. Kaaaazi kweli kweli.
 
kanikera! Sasa analeta picha mbaya kwa JF bwana kuwa UDOM wanamaliza vilaza kumbe kuna watu wako fiti! Asingetaja jina la chuo...afu mbona serikali nzima UDOM walikuwa c maHB kivile mpaka ajitamue hapa bhana!

Mi ndo hapo aliponchefua sana tu, aache kujifagilia upupu kwa kutumia jina la UDOM....umesikia dogo?
 
So young man, do you mean you look attractive to your Roommate? and you are busy bragging for that?
When you said "...ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana..." do you mean what i understood?


mkuu kamaliza UDOM muache kijana...roommate wake alikuwa na GF wake, halafu yeye handsome, mhhhh mwaka huu JF ina kazi...
 
Back
Top Bottom