Huyu dada leo kanichana ukweli

Huyu dada leo kanichana ukweli

Ninazo perfume kali sana za kike na kiume, nakushauri uchukue Intense Man ila ile Dulexe Edition, inanukia mno, ama Icon.
WhatsApp 0753669856View attachment 2512080
IMG_20230206_200418_883.jpg
 
Sawa nitai- consider.

But am sure sinuki kwapa.
You are in denial. Kikwapa chako umekizoeana ni sehemu ya harufu yako usionusa. Sio rahisi mtu kujua ana kikwapa au domo lake linanuka. Kwa usikatae kuwa huna kikwapa!
 
Ndugu zangu itabidi mnielekeze wapi napata Pafyum a.k.a Unyunyu wa kushantoo. Kilichonipata leo kimenibadili.

Kama kawaida leo jioni natoka maskani naingia mtaa kidogo- lengo kunyoosha misuli, kupunga upepo na kutazama uumbaji nitakao kutana nao.

Nikakutana na huyo binti, mzuri kawaida, kapendeza zake.
Nikawaza kwanini nisifanyie mazoezi uwezo wangu kutongoza niliofundishwa na Mwalimu wangu, Jacksonian.

Basi nikamsogelea binti wa watu,. Salamu, kisha blaablaa kadhaa (ambazo huwa hatuzikumbuki hata tulisema nini).

Binti alikuwa anaonesha ushirikiano wa kawaida, kama ilivyokawaida yao.

Basi nikaona nisipoteze muda ngoja niamie kwenye kile kipengele muhimu zama hizi( kuomba namba).
Nilivyomuomba tuu namba, binti akafikiria kama dakika 1.
Ile nataka kufungua mdomo ili nikazie zaidi.

Ghafra binti akasimama, kama vile kasahau kitu. Akaniuliza unaitwa nani rafiki, nikamjibu kama vile sikumwambia hapo awali.

Akaanza "MaT2B unatumia pyafum gan?" Nikajifnya kuuliza mbona mimi sijapulizia leo pafyum."
Yeye: Why?
Mimi: Nimetoka kuoga sasa hivi, sijaona haja ya kupulizia.

Yeye: No, no. Tafuta pafyum nzuri, the next day you approach a lady, make sure unanukia harufu nzuri ya pafyum. Itakuongezea point, mvutie mtu kwa harufu yako.
Mimi: ..........

Yeye: and I don't mean unanukia vibaya, no, sijanusa harufu yoyote kutoka kwako.

Mimi: But sio kwamba huwa sijipulizi ila nimependa tuu kuwa out of pafyum leo.

Yeye: ok you gotme, and am sorry, taken already. Do what i told you en you will find a beautiful lady.

Nikawa sina neno, nikamwambia Ok goodnight.

Nikabaki kumuona mtoto mzuri ana ambaa ambaa huyo.

Kwa fedheha niliyopata, nikaamua haraka nimpigie demu angu, Jesca. Hajali haya mambo. Kwanza kale la body spray kangu huwa anang'ang'gana nimnunulie na yeye.

Ila wakuu nipeni jina la pafyum nzuri kwa hela yangu isiyozidi 30K. Sina gari, hata kunukia vizuri nisinukie kweli?

ebanae
 
Pole sana Mkuu kwa fedheha

Njoo nikuuzie perfume kwa 25k tu.
Zipo nyingine 15k oil perfumes.

Anza na Black Opium,
Chukua Creed Aventus
Chukua Mousuf.
Chukua Sauvage
Chukua Invictus.

Hizo ni Basic ati ambazo mwanaume hutakiwi kukosa .
Nimezipanga kwa preference yangu.

Ukiwa nayo moja katika hizo hakuna mtu atakuchomolea.

Unaweza weka picha mkuu ya hizi mambo,
 
Unaweza weka picha mkuu ya hizi mambo,
Karibu Mkuu
Naziuza 25k tu


Dar unaletewa hadi stand ya daladala.
Mkoani natuma

Invicto wengi wanaisifia sana na ni nzuri mno
Aventos ndio hivyohivyo
Suspenso Aisee hiki kitu mimi nimekielewa mno, Mwanaume ananukia vizuri

Mousuf kigunia,perfume ya taifa.

Aventos unanukia kigentleman.

Ramz hii Kuna mtu humu Jana tu ameichukua na ameipenda mno, na inapendwa na wengi.


Ninazo pia za kupima,
16K mils30
IMG-20230206-WA0059.jpg
IMG-20230210-WA0006.jpg
IMG-20230206-WA0035.jpg
IMG-20230128-WA0017.jpg
IMG-20230203-WA0044.jpg
 
Pole sana Mkuu kwa fedheha

Njoo nikuuzie perfume kwa 25k tu.
Zipo nyingine 15k oil perfumes.

Anza na Black Opium,
Chukua Creed Aventus
Chukua Mousuf.
Chukua Sauvage
Chukua Invictus.

Hizo ni Basic ati ambazo mwanaume hutakiwi kukosa .
Nimezipanga kwa preference yangu.

Ukiwa nayo moja katika hizo hakuna mtu atakuchomolea.
Mbadala wa deodorant ya nivea for men unashauri ipi?
 
Back
Top Bottom