Huyu dada leo kanichana ukweli

Huyu dada leo kanichana ukweli

Ndugu zangu itabidi mnielekeze wapi napata Pafyum a.k.a Unyunyu wa kushantoo.
Kilichonipata leo kimenibadili.

Kama kawaida leo jioni natoka maskani naingia mtaa kidogo- lengo kunyoosha misuli, kupunga upepo na kutazama uumbaji nitakao kutana nao.

Nikakutana na huyo binti, mzuri kawaida, kapendeza zake.
Nikawaza kwanini nisifanyie mazoezi uwezo wangu kutongoza niliofundishwa na Mwalimu wangu, Jacksonian.

Basi nikamsogelea binti wa watu,. Salamu, kisha blaablaa kadhaa(ambazo huwa hatuzikumbuki hata tulisema nini).
Binti alikuwa anaonesha ushirikiano wa kawaida, kama ilivyokawaida yao.

Basi nikaona nisipoteze muda ngoja niamie kwenye kile kipengele muhimu zama hizi( kuomba namba).
Nilivyomuomba tuu namba, binti akafikiria kama dakika 1.
Ile nataka kufungua mdomo ili nikazie zaidi.

Ghafra binti akasimama, kama vile kasahau kitu.
Akaniuliza unaitwa nani rafiki, nikamjibu kama vile sikumwambia hapo awali.

Akaanza " MaT2B unatumia pyafum gan?"
Nikajifnya kuuliza mbona mimi sijapulizia leo pafyum."
Yeye : Why?
Mimi : nimetoka kuoga sasa hivi, sijaona haja ya kupulizia.
Yeye: No, no. Tafuta pafyum nzuri, the next day you approach a lady, make sure unanukia harufu nzuri ya pafyum. Itakuongezea point, mvutie mtu kwa harufu yako.
Mimi: ..........

Yeye: and i don't mean unanukia vibaya, no, sijanusa harufu yoyote kutoka kwako.

Mimi: but sio kwamba huwa sijipulizi ila nimependa tuu kuwa out of pafyum leo.

Yeye: ok you gotme, and am sorry, taken already. Do what i told you en you will find a beautiful lady.

Nikawa sina neno, nikamwambia Ok goodnight.

Nikabaki kumuona mtoto mzuri ana ambaa ambaa huyo.

Kwa fedheha niliyopata, nikaamua haraka nimpigie demu angu, Jesca. Hajali haya mambo.
Kwanza kale la body spray kangu huwa anang'ang'gana nimnunulie na yeye.


Ila wakuu nipeni jina la pafyum nzuri kwa hela yangu isiyozidi 30K.
Sina gari, hata kunukia vizuri nisinukie kweli!!???

Hata kwa 10,000 unaweza pata nzuri, but kabla ya perfume ua harufu permanently kwa deodorant then perfume always
 
Mkuu mimi si nukii kama beberu.

Naoga mara kwa mara

Navaa nguo Safi

Nakula vizuri,
Nakunywa maji ya kutosha

Nanina piga zoezi.

Pamoja na hayo kwa mjii huu wa dar kama wapiga seven eleven lazima unukie ka beberu
 
 
Ndugu zangu itabidi mnielekeze wapi napata Pafyum a.k.a Unyunyu wa kushantoo.
Kilichonipata leo kimenibadili.

Kama kawaida leo jioni natoka maskani naingia mtaa kidogo- lengo kunyoosha misuli, kupunga upepo na kutazama uumbaji nitakao kutana nao.

Nikakutana na huyo binti, mzuri kawaida, kapendeza zake.
Nikawaza kwanini nisifanyie mazoezi uwezo wangu kutongoza niliofundishwa na Mwalimu wangu, Jacksonian.

Basi nikamsogelea binti wa watu,. Salamu, kisha blaablaa kadhaa(ambazo huwa hatuzikumbuki hata tulisema nini).
Binti alikuwa anaonesha ushirikiano wa kawaida, kama ilivyokawaida yao.

Basi nikaona nisipoteze muda ngoja niamie kwenye kile kipengele muhimu zama hizi( kuomba namba).
Nilivyomuomba tuu namba, binti akafikiria kama dakika 1.
Ile nataka kufungua mdomo ili nikazie zaidi.

Ghafra binti akasimama, kama vile kasahau kitu.
Akaniuliza unaitwa nani rafiki, nikamjibu kama vile sikumwambia hapo awali.

Akaanza " MaT2B unatumia pyafum gan?"
Nikajifnya kuuliza mbona mimi sijapulizia leo pafyum."
Yeye : Why?
Mimi : nimetoka kuoga sasa hivi, sijaona haja ya kupulizia.
Yeye: No, no. Tafuta pafyum nzuri, the next day you approach a lady, make sure unanukia harufu nzuri ya pafyum. Itakuongezea point, mvutie mtu kwa harufu yako.
Mimi: ..........

Yeye: and i don't mean unanukia vibaya, no, sijanusa harufu yoyote kutoka kwako.

Mimi: but sio kwamba huwa sijipulizi ila nimependa tuu kuwa out of pafyum leo.

Yeye: ok you gotme, and am sorry, taken already. Do what i told you en you will find a beautiful lady.

Nikawa sina neno, nikamwambia Ok goodnight.

Nikabaki kumuona mtoto mzuri ana ambaa ambaa huyo.

Kwa fedheha niliyopata, nikaamua haraka nimpigie demu angu, Jesca. Hajali haya mambo.
Kwanza kale la body spray kangu huwa anang'ang'gana nimnunulie na yeye.


Ila wakuu nipeni jina la pafyum nzuri kwa hela yangu isiyozidi 30K.
Sina gari, hata kunukia vizuri nisinukie kweli!!???
Ulienda vizuri, ila ukiomba namba, kaa kimya usianze kujitetea au kumbembeleza kwanini unataka namba. Apo ndo uyo demu alikupata na akaanza kucheza na akili yako kujua utaweza kumuhimili au la.
.
Apo shida sio parfume, ila ni uwezo wako wa kuhimili majaribu ya wanawake. Amekutikisa kidogo ukajaa kwenye anga zake ndo akaanza kucheza na akili yako.
.
Ungechukulia ilo swala kama utani tu wala lisikuyumbishe ili uendelee kuongoza mazungumzo unavyotaka lakini ulipokubali tu yeye ayaendeshe mazungumzo anapotaka ndo apo ukapoteza.
We ungerudisha swali kwa swali lake la unatumia parfume gani alafu ungeipotezea mada, na kuongoza mazungumzo unavyotaka wewe.
.
Ukiwa unatongoza ujue -yeyote atakayekua anauliza maswali ndiye anayeongoza mazungumzo, na huyo inabidi uwe wewe.
 
Mkuu mimi si nukii kama beberu.

Naoga mara kwa mara

Navaa nguo Safi

Nakula vizuri,
Nakunywa maji ya kutosha

Nanina piga zoezi.
kisayansi... hii nilisikia mahali wataalamu wakishusha nondo...
mwili huwa katika utayari na mambo mapya na hivyo kuachana na mambo inayoyajua ama iliyoyazoea. Vivyohivyo kwa pua, hua katika utayari wa kugundua harufu mpya na kuipuuzia ile iliyozoeleka ndio maana harufu yako mwenyewe huisikii ila jirani zako wanaisikia na ndio hiyo inawakera. Wewe utakua na uwezo wa kung'amua harufu mpya mbali kabisa na hiyo uliyonayo...
so zingatia ushairi wa mlimbwende uliyekutana naye
 
Ndugu zangu itabidi mnielekeze wapi napata Pafyum a.k.a Unyunyu wa kushantoo.
Kilichonipata leo kimenibadili.

Kama kawaida leo jioni natoka maskani naingia mtaa kidogo- lengo kunyoosha misuli, kupunga upepo na kutazama uumbaji nitakao kutana nao.
Diable bleu mara ya mwisho nanunua ilikua inauzwa 15k sijui sasa hivi bei gani maana mambo hayo nishaacha sasa hivi napendelea spray tu maana hazina harufu kali kama pafyum
 
Mkuu mimi si nukii kama beberu.

Naoga mara kwa mara

Navaa nguo Safi

Nakula vizuri,
Nakunywa maji ya kutosha

Nanina piga zoezi.
Huwezi kugundua harufu uliyonayo mpaka uambiwe....huyo dada sio kama anapenda unukie....labda ni namna tu ya kufikisha ujumbe...
 
Kunukia vizuri hakuanzi na perfume

Tafuta sabuni nzuri inayoendana na jasho lako

Kisha upake lotion nzuri achana na hizi zikikutana na jasho zinatoa harufu ya Beverly

Kisha malizia na perfume

Pia zingatia unachofulia nguo zako

Ukihitaji Dove soap na collection yake kwa ujumla Karibu PM
IMG_4656.jpg

IMG_4655.jpg
 
🤣🤣🤣🤣dah kazi mnayo...unajipulizia halafu unaana Hamza kanuni🤣🤣🤣tafuta hela dogo...
 
Unapatikana wapi
Pole sana Mkuu kwa fedheha

Njoo nikuuzie perfume kwa 25k tu.
Zipo nyingine 15k oil perfumes.

Anza na Black Opium,
Chukua Creed Aventus
Chukua Mousuf.
Chukua Sauvage
Chukua Invictus.

Hizo ni Basic ati ambazo mwanaume hutakiwi kukosa .
Nimezipanga kwa preference yangu.

Ukiwa nayo moja katika hizo hakuna mtu atakuchomolea.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu itabidi mnielekeze wapi napata Pafyum a.k.a Unyunyu wa kushantoo. Kilichonipata leo kimenibadili.

Kama kawaida leo jioni natoka maskani naingia mtaa kidogo- lengo kunyoosha misuli, kupunga upepo na kutazama uumbaji nitakao kutana nao.

Nikakutana na huyo binti, mzuri kawaida, kapendeza zake.
Nikawaza kwanini nisifanyie mazoezi uwezo wangu kutongoza niliofundishwa na Mwalimu wangu, Jacksonian.

Basi nikamsogelea binti wa watu,. Salamu, kisha blaablaa kadhaa (ambazo huwa hatuzikumbuki hata tulisema nini).

Binti alikuwa anaonesha ushirikiano wa kawaida, kama ilivyokawaida yao.

Basi nikaona nisipoteze muda ngoja niamie kwenye kile kipengele muhimu zama hizi( kuomba namba).
Nilivyomuomba tuu namba, binti akafikiria kama dakika 1.
Ile nataka kufungua mdomo ili nikazie zaidi.

Ghafra binti akasimama, kama vile kasahau kitu. Akaniuliza unaitwa nani rafiki, nikamjibu kama vile sikumwambia hapo awali.

Akaanza "MaT2B unatumia pyafum gan?" Nikajifnya kuuliza mbona mimi sijapulizia leo pafyum."
Yeye: Why?
Mimi: Nimetoka kuoga sasa hivi, sijaona haja ya kupulizia.

Yeye: No, no. Tafuta pafyum nzuri, the next day you approach a lady, make sure unanukia harufu nzuri ya pafyum. Itakuongezea point, mvutie mtu kwa harufu yako.
Mimi: ..........

Yeye: and I don't mean unanukia vibaya, no, sijanusa harufu yoyote kutoka kwako.

Mimi: But sio kwamba huwa sijipulizi ila nimependa tuu kuwa out of pafyum leo.

Yeye: ok you gotme, and am sorry, taken already. Do what i told you en you will find a beautiful lady.

Nikawa sina neno, nikamwambia Ok goodnight.

Nikabaki kumuona mtoto mzuri ana ambaa ambaa huyo.

Kwa fedheha niliyopata, nikaamua haraka nimpigie demu angu, Jesca. Hajali haya mambo. Kwanza kale la body spray kangu huwa anang'ang'gana nimnunulie na yeye.

Ila wakuu nipeni jina la pafyum nzuri kwa hela yangu isiyozidi 30K. Sina gari, hata kunukia vizuri nisinukie kweli?
Ya 30000 labda ya kupima ambapo kwa perfume ya maana utapata mls.10
 
Wale wenye maduka makubwa pale kariakoo huwa wanashinda kwenye majasho kutwa lakini wapenzi wao hawajawahi kuacha kuwakiss
Moral of the story: tafuta kitangulizi ili upunguze process ndefu iwe fupi maana tajiri huwa hatongozii
 
Back
Top Bottom