Huyu dada leo kanichana ukweli

Huyu dada leo kanichana ukweli

Chukua 25th edition ya forever living.

Hiyo hata kama ni domo zege utakula mbususu mpaka ukimbie na kaa mbali na wake za watu maana utawagonga sana ni kama ina kauchawi flani ambako hupumbaza medula za wadada
Hii ya kula hadi wake za watu, hapana.
 
Saint Anne njoo uweke comment hapa.
Pole sana Mkuu kwa fedheha

Njoo nikuuzie perfume kwa 25k tu.
Zipo nyingine 15k oil perfumes.

Anza na Black Opium,
Chukua Creed Aventus
Chukua Mousuf.
Chukua Sauvage
Chukua Invictus.

Hizo ni Basic ati ambazo mwanaume hutakiwi kukosa .
Nimezipanga kwa preference yangu.

Ukiwa nayo moja katika hizo hakuna mtu atakuchomolea.
 
ikikuzoea inakua kama pafyumu yako inanukia vizuri na pia inazuia harufu ya kwapa. Huyo dada shida sio pafyum bali alikereka na harufu ya kwapa
Sawa nitai- consider.

But am sure sinuki kwapa.
 
Pole sana Mkuu kwa fedheha

Njoo nikuuzie perfume kwa 25k tu.
Zipo nyingine 15k oil perfumes.

Anza na Black Opium,
Chukua Creed Aventus
Chukua Mousuf.
Chukua Sauvage
Chukua Invictus.

Hizo ni Basic ati ambazo mwanaume hutakiwi kukosa .
Nimezipanga kwa preference yangu.

Ukiwa nayo moja katika hizo hakuna mtu atakuchomolea.
Niza kupima
 
Aisee
5B215E68-6053-4E82-8AE9-F882EBD382EC.jpeg
 
Hii mambo inaathiri saikolojia balaaa.... Kuna mwamba ni m anasheria aliambiwa na mwanamke anayempenda kuwa ana show poa ila ana kiharufu fulani- since hapo jamaa hajawahi kupona akili ,na anatembea na perfume zaidi ya 10 zabei ghali balaa na anajinyunyuzia kama maji

Haya mambo yanahitaji umakini mno
 
Back
Top Bottom