Huyu dada leo kanichana ukweli

Huyu dada leo kanichana ukweli

Mbadala wa deodorant ya nivea for men unashauri ipi?
Nashauri hii hapa
Ni Deodorant nzuri mno na inakaa muda mrefu,unaweza tumia hata miezi mi4 haijaisha.

Pia haikomazi kwapa na nguo.
IMG-20230211-WA0025.jpg
 
Karibu Mkuu
Naziuza 25k tu


Dar unaletewa hadi stand ya daladala.
Mkoani natuma

Invicto wengi wanaisifia sana na ni nzuri mno
Aventos ndio hivyohivyo
Suspenso Aisee hiki kitu mimi nimekielewa mno, Mwanaume ananukia vizuri

Mousuf kigunia,perfume ya taifa.

Aventos unanukia kigentleman.

Ramz hii Kuna mtu humu Jana tu ameichukua na ameipenda mno, na inapendwa na wengi.


Ninazo pia za kupima,
16K mils30View attachment 2513646View attachment 2513647View attachment 2513650View attachment 2513652View attachment 2513653
Hiyo Ramz Lattafa unyama na nusu
 
Daah..mimi mademu huwa wanapenda kunisogelea kinoma..it seems sinaga harufu mbaya..Fresh like out the shower..

Wanaume tuinvest muda na fedha.tuwe wasafi na tunukie vizuri...harufu mbaya zinakera kinoma

Sio vibaya kujisifia.
 
Chukua 25th edition ya forever living.

Hiyo hata kama ni domo zege utakula mbususu mpaka ukimbie na kaa mbali na wake za watu maana utawagonga sana ni kama ina kauchawi flani ambako hupumbaza medula za wadada
Hivi issue za forever living vado wapo? Maana mtaani huu mwaka wa 2 sijawah kutana na mpiga domo wa forever living tofaut na hapo nyuma
 
Ndugu zangu itabidi mnielekeze wapi napata Pafyum a.k.a Unyunyu wa kushantoo. Kilichonipata leo kimenibadili.

Kama kawaida leo jioni natoka maskani naingia mtaa kidogo- lengo kunyoosha misuli, kupunga upepo na kutazama uumbaji nitakao kutana nao.

Nikakutana na huyo binti, mzuri kawaida, kapendeza zake.
Nikawaza kwanini nisifanyie mazoezi uwezo wangu kutongoza niliofundishwa na Mwalimu wangu, Jacksonian.

Basi nikamsogelea binti wa watu,. Salamu, kisha blaablaa kadhaa (ambazo huwa hatuzikumbuki hata tulisema nini).

Binti alikuwa anaonesha ushirikiano wa kawaida, kama ilivyokawaida yao.

Basi nikaona nisipoteze muda ngoja niamie kwenye kile kipengele muhimu zama hizi( kuomba namba).
Nilivyomuomba tuu namba, binti akafikiria kama dakika 1.
Ile nataka kufungua mdomo ili nikazie zaidi.

Ghafra binti akasimama, kama vile kasahau kitu. Akaniuliza unaitwa nani rafiki, nikamjibu kama vile sikumwambia hapo awali.

Akaanza "MaT2B unatumia pyafum gan?" Nikajifnya kuuliza mbona mimi sijapulizia leo pafyum."
Yeye: Why?
Mimi: Nimetoka kuoga sasa hivi, sijaona haja ya kupulizia.

Yeye: No, no. Tafuta pafyum nzuri, the next day you approach a lady, make sure unanukia harufu nzuri ya pafyum. Itakuongezea point, mvutie mtu kwa harufu yako.
Mimi: ..........

Yeye: and I don't mean unanukia vibaya, no, sijanusa harufu yoyote kutoka kwako.

Mimi: But sio kwamba huwa sijipulizi ila nimependa tuu kuwa out of pafyum leo.

Yeye: ok you gotme, and am sorry, taken already. Do what i told you en you will find a beautiful lady.

Nikawa sina neno, nikamwambia Ok goodnight.

Nikabaki kumuona mtoto mzuri ana ambaa ambaa huyo.

Kwa fedheha niliyopata, nikaamua haraka nimpigie demu angu, Jesca. Hajali haya mambo. Kwanza kale la body spray kangu huwa anang'ang'gana nimnunulie na yeye.

Ila wakuu nipeni jina la pafyum nzuri kwa hela yangu isiyozidi 30K. Sina gari, hata kunukia vizuri nisinukie kweli?
ungemuimbia nyimbo ya diamond (yatapita) angekubali hapohapo..!
 
Tafuta perfume inaitwa AMBITION inauzwa 35hadi 45 mm huwa wananiuza sahani kaka unatumia perfume gani ni nzur hatar
 
Shukuru hajakuambia direct unanuka... Shukuru sana mkuu..yani kajali sana afya yako ya akili... Sasa ungekutana na hawa slay queen ndio ungejua rangi halisi ya macho ya mwanamke yale tunayo yaonaga mazuri
 
Back
Top Bottom