Huyu dada ajengewe sanamu lake

Hakuna cha maana ulicho andika hapa! Hii ime result kwa mfumo wa patriarchy au feminists? Acha kuzunguka mbuyu

Kinacho Leta mpasuko sio patriarchy, ni jinsi feminism na wanawake kujiona wanaweza, kujiona kuwa they're not responsible for nurturing a man while he keeps bursting his ass kutafuta familia.
Patriarchy! Kwani mwanamke hapewi fursa sawa na mwanaume? Je usawa na position si mmepewa hapo patriarchy iko wapi?

Umeongelea concept ambayo basically hai exist. Hakuna patriarchy, ni jinsi usawa ambao mmeupigania mnautumia against men, periodt..

Una chuki binafsi na zamaradi kwa sababu anasema ikweli na she built her success despite rumors. Anaakili anajielewa na anajua thamani na position yake kama mwanamke. Wanawake wengi wanamchukia and she says it more often.
 
Haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…