binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 16,095
- 44,609
Hapana, uko mbali na ninachojadili mimi.Bado hatuja elewana mpaka sasa
Nature huwa inamajibu yoote na binadamu mwenye elimu psychology anajiona kawa mjuzi kumbe ni Pungu asiye na ego limit! (sijasema mtu hapa)
Hivi niwaulize Swali moja dogo... How did our grandparents live? How did they know how to act? How did they manage kutulea tena unakuta familia inawatoto hata kumi na huwezi sikia komwe la mtu linatoa sauti?
It's because of the simple thing, kila mtu alikua position yake, wanawake hawaku wa diminish walipo kosea bali walikalisha chini kwa kujua he is my leader, he leada, he provides, na mimi kazi yangu ni nurture, kuhakikisha nampa environment nzuri ya yeye kufanya hivyo.. Hiyo ilikua partnership japo kuwa hata wazee wetu hawaku jua hizi terms...
Leo mwanamke kapewa uhuru, kapata kazi, kapata ujuzi... Na yeye anajiona provider, tukasema sawa, haya Fanya na wewe kuchangia kwenye kile tulicho kubali uwe basi ndo wanaanza kulia lia Wtf,?
Mzizi wa fitna uko very clear and clean haihitaji mtu kusoma psychology wala nini..
Unajua mnachekesha sana, yaani mmepewa uhuru kila kitu na bado likija swala la nyie kuprovide mnasema mfumo dume, mabavu, na kutaka kuwa diminish..
Hiki kiumbe haijawahi kuwa sawa, ndo maana mabandiko yanasema mwanaume tumia akili na si psycholojia kuishi nacho
Jamii ya zamani ilikuwa male dominated , sasa kwanini kulikuwa na mivutano hadi kuibuka kwa feminism if i may ask, ikiwa umesema ustawi unapatikana pale tu male anapodominate…….Hata huyo mwenye hekima, busara na maarifa bado dominance ya mwanaume inahitajika ili mahusiano yawe stable. Equal partnership unayoiongelea ni illusion, haiwezi kufanya kazi kwenye mahusiano ya mwanaume na mwanamke kutokana na tofauti zetu kibaolojia na saikolojia. Male dominant haina alternative kama tunataka ustawi mzuri wa jamii.
Nimekujibu by explanation ambayo utaikimbia because ni ngumu kumeza.
Huwa una idea watu wanafanya nini nje ya JF?binti kiziwi hawezi kuja tena hapa kwasababu tumesha Crack the code
Because unajua partnership is a result of psychological trick to make people think they need to show up on things they weren't designed for...Haina definition mpaka unipe explaination?
Unamaanisha nini kukimbia…
Kumbe mmemaliza? Ngoja nikipata muda tena nitasoma, if i will be having something to say.Because unajua partnership is a result of psychological trick to make people think they need to show up on things they weren't designed for...
Nimetoa perspective ya wazee wa zamani babu zetu, hatukusikia wanatoa makomwe nje kama kizazi cha leo chenye komejawa na psychological trash
Kwanza huu mjadala tumesha umaliza soma kwanza hizo comment usipo Pata majibu utarejea
Nafikiri hapa umeongelea kitu kingine kioya mkuu. Najua consequences za idiology zote. Na mimi binafsi ukiniuliza mfumo upi ni sahihi nitakujibu ni patriarchy, kwa sababu hii ilijiinua kwa kufuata natural pattern, haipo theoritical kama hii ya gender equality ambayo dunia inaipigia chapuo.Mkuu kumbuka patriarchy na gender equality siyo scripts tu ni matokeo ya jinsi binadamu anavyofanya kazi kulingana na asili yake.
Unaposema tuwe na ideology moja, unamaanisha nini? Kama ukienda na gender equality 100% kama unavyotaka consistency, maana yake ni kwamba mwanaume anapaswa kuwa na maternity leave kama mwanamke, na mwanamke anapaswa kuenda vitani kama mwanaume.
Uko tayari kukubali consequences za hiyo consistency?
Mkuu unatakiwa ujue jamii haiko stable kwa sababu inajaribu kutumia ideology kupinga biology.
Ukisema tuwe na mfumo mmoja unakuwa unakiri kuwa ideology yoyote inayopingana na uhalisia wa kibiolojia italazimika kutumia nguvu kama unavyosema kuwajibisha ili ifanye kazi.
Je tunataka jamii ya ideological forced labor?
Hata kipindi cha patriarchy wapo wanawake ambao walitoka nje ya mstari lakini walishughulikiwa vikali sana.Jamii ya zamani ilikuwa male dominance, sasa kwanini kulikuwa na mivutano hadi kuibuka kwa feminism if i may ask, ikiwa umesema ustawi unapatikana pale tu male anapodominate…….
Na je Patriarchy kama mfumo hamuoni ni lazima ubadilike/uanguke since kila kitu duniani kinachomhusu mwanadamu lazima kibadilike.
Mwanadamu ni mnyama wa mabadiliko…..
(sijasoma comments zote kwahiyo sijajua mlikoanzia, tho ile comment uliyonijibu asubuhi, nimeilike tu sababu sina further argument)
Utalijengea wapi mtoa mada? Nitakuja kufanyia contentNitamjengea mimi mtoa mada
Yeah manAre you a content creator