Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,326
- 40,530
Naamini inawezekana kabisa. Kwanza ni wanaume kukubali jamii inapotea. Tufike tu hatua tukubaliane na ukweli kwamba tukimweka mwanamke kwenye center ya kila kitu lazima mambo yawe shaghalabaghala. Kuna wakati na sehemu inalazimu mwanamke apuuzwe kwa faida ya jamii akiwemo mwanamke mwenyeweUnaona hili linawezekana? if yes kivipi?
Hoja ganiSawa, naomba jibu na ile hoja nyingine iliyopo kwenye post yangu.
Unahisi huu mchakato unaweza kuchukua muda gani mpaka kuanza kuona changes?Naamini inawezekana kabisa. Kwanza ni wanaume kukubali jamii inapotea. Tufike tu hatua tukubaliane na ukweli kwamba tukimweka mwanamke kwenye center ya kila kitu lazima mambo yawe shaghalabaghala. Kuna wakati na sehemu inalazimu mwanamke apuuzwe kwa faida ya jamii akiwemo mwanamke mwenyewe
Hoja gani naomba uipoint maana tumejadiliana mengi uko juuLakini hata wewe umejibu nusu tu ya hoja yangu nzima, unataka kunifanya niamini pengine umeikwepa makusudi.
Soma post #222, umejibu kuhusu talaka ila kuna sehemu umeiruka, sijajua kama haujaona umuhimu wa kuitolea majibu au umefanya makusudi kuparuka.Hoja gani
Hapa umejielezea wewe zaidi , naweza kusema huu ni ubinafsi, nataka majibu ambayo yanatugusa wanaume wote kwa namna moja ama nyingine.Mahusiano ya mwanaume na mwanamke ni natural pattern. Hakuna alternative. Unachokisema hapa tutarudi kwenye mabishano mengine ya kati ya mwanaume na mwanamke nani anamuhitaji zaidi mwenzake. Kumbuka tukifika uko kwenye ligi hakuna jinsia itakayoibuka mshindi kiujumla. Victims watakuwepo kila upande. Kwahiyo namna bora zaidi ni kuangalia tunatokaje hapa.
Mimi nina familia(mke na mtoto), na suala la maadili na family structure(yaani baba, mama, mtoto kila mmoja akae kwenye nafasi na wajibu wake) nalizingatia sana. Lakini haimaanishi kwamba sioni kama hii pattern tunayoenda nayo kama jamii inapeleka shimoni ustawi wetu. Hata familia yangu nikiilea kwenye uelekeo mzuri mwisho wa siku watoto watakua na kujitegemea watakutana na ulimwengu uliovulugika. Kwahiyo tukisema haimaanishi tunataka huruma,isipokua tunaonyesha ambapo hatupo sahihi. Personally am fine in almost all aspects of my life, relationship, financial, family e.t.c kwahiyo sitafuti huruma ya yoyote
Kuweka muda mahususi sio jambo rahisi maana hapa unashughulika na akili za binadamu. Sio gari au ugonjwa ambao unajua mpaka muda fulani tatizo litskua lomeisha. Mimi nimesoma finance,economic, accounting na hesabu, kwahiyo ni suala ambalo lipo nje kidogo ya uwanda wangu. Tuna wataalamu wa masuala ya ustawi wa jamii wanaweza kutupa muongozo wa nini tufanye tulipokwama. Lakini ninachooamini kukubali tatizo lipo tayari ni hatua ya kwanza kwenye kuelekea kulitatuaUnahisi huu mchakato unaweza kuchukua muda gani mpaka kuanza kuona changes?
Na muda wote ambao tunahangaika na huo mchakato jamii itakuwa inaishi vipi?
Kuhusu talaka wewe ulimaanisha kwamba talaka zinakua initiated na wanawake wasomi kwa sababu wamekataa manyanyaso na ukandamizaji. Nikakwambia hiyo ni hoja ya kifeminia yenye lengo la kumtengenezea mwanaume picha ya kuonekana ni villain kwenye kila situation.Soma post #222, umejibu kuhusu talaka ila kuna sehemu umeiruka, sijajua kama haujaona umuhimu wa kuitolea majibu au umefanya makusudi kuparuka.
Kwahiyo kwenye hiyo post Mkuu nimeongelea talaka peke yake?Kuhusu talaka wewe ulimaanisha kwamba talaka zinakua initiated na wanawake wasomi kwa sababu wamekataa manyanyaso na ukandamizaji. Nikakwambia hiyo ni hoja ya kifeminia yenye lengo la kumtengenezea mwanaume picha ya kuonekana ni villain kwenye kila situation.
Kuna comment nyingine nikakwambia kwamba talaka zinakua initiated zaidi na wanawake kwa kuna masilahi wanayapata kisheria wanapovunja ndoa zao. Kama mwanamke angekua anakutana na consequences anapovunja ndoa hata wanawake wasomi wangekua tayari kukaa kwenye meza ya majadiliano na waume zao pale zinapotokea misunderstandings
Sijaona sehemu ambayo sijaigusa kwenye comment yako ndio maana nikaomba uionyeshe exactly.
Sioni kama wanatafuta huruma, mimi naona wana-expose mfumo ambao tayari umeshakua proved kwamba umefeli. Tulipotaka kusimika usawa wa kijinsia hatukumwambia mwanamke kama usawa utakuja na wajibu sawa. Hatukumwambia mwanamke kuhusu stress na presha za kuwa main character. And now we end up with women who want place of a man, privilege of a waman and responsibility of neither. Tukikumbatia hiyo pattern lazima jamii ianguke. Sasa wanao-expose hicho kitu mimi sioni kama wanalalamikaHapa umejielezea wewe zaidi , naweza kusema huu ni ubinafsi, nataka majibu ambayo yanatugusa wanaume wote kwa namna moja ama nyingine.
Kwanini wanaume wanaonekana kutafuta huruma karne hii baada tu ya kuoa?
Mkuu nimeomba uonyeshe exactly point ambayo sijaigusa lakini naona unazunguka mbuyuKwahiyo kwenye hiyo post Mkuu nimeongelea talaka peke yake?
Unaposema tuna wataalamu wa ustawi wa jamii wanaoweza kutupa muongozo, hapa tunadanganyana hadharani.Kuweka muda mahususi sio jambo rahisi maana hapa unashughulika na akili za binadamu. Sio gari au ugonjwa ambao unajua mpaka muda fulani tatizo litskua lomeisha. Mimi nimesoma finance,economic, accounting na hesabu, kwahiyo ni suala ambalo lipo nje kidogo ya uwanda wangu. Tuna wataalamu wa masuala ya ustawi wa jamii wanaweza kutupa muongozo wa nini tufanye tulipokwama. Lakini ninachooamini kukubali tatizo lipo tayari ni hatua ya kwanza kwenye kuelekea kulitatua
Hii Natafuta Ajiramwanamke ambaye hajasoma, yeye analazimika kuvumilia chochote ili apate kukidhi mahitaji yake ya msingi, na hili kundi la wanawake ndiyo wengi na ndio aina ya wanawake ambao wanaume wengi wanawapenda, mbona liko wazi hili!
Watu waliosababisha tatizo wanaweza kuli-solve wakibadilisha mkakati, sema hawataweza kuli-solve tatizo kama wakitumia mkakati ule ule ambao umesababisha tatizo kuwepo. Tukisema tuingiliane kwenye proffesiinalism kesh na kesho kutwa uchumi utaanguka je hiyo maana yake sisi wachumi tukae pembeni tuwaachie computer scientists waje na suluhisho?Unaposema tuna wataalamu wa ustawi wa jamii wanaoweza kutupa muongozo, hapa tunadanganyana hadharani.
Hao wataalamu ndio hao hao walioingiza hii ajenda ya feminism kwenye sera zao na ndio waliosababisha huu mvulugano tunaoujadili sasa hivi.
Kutarajia solution kutoka kwa watu waliotengeneza tatizo ni kosa la kimsingi la kimkakati, kama mwanauchumi, unapaswa kujua kuwa crisis management inahitaji targeted actions siyo kukaa na kusubiri social experts.
Kukubali tatizo lipo ni hatua ya kwanza sawa, hatua ya pili ni ipi? Au tutabaki kwenye hatua ya kwanza mpaka kizazi cha watoto wetu kije kikutane na hii tatizo?
Here we go again.Hakuna cha maana ulicho andika hapa! Hii ime result kwa mfumo wa patriarchy au feminists? Acha kuzunguka mbuyu
Kinacho Leta mpasuko sio patriarchy, ni jinsi feminism na wanawake kujiona wanaweza, kujiona kuwa they're not responsible for nurturing a man while he keeps bursting his ass kutafuta familia.
Patriarchy! Kwani mwanamke hapewi fursa sawa na mwanaume? Je usawa na position si mmepewa hapo patriarchy iko wapi?
Umeongelea concept ambayo basically hai exist. Hakuna patriarchy, ni jinsi usawa ambao mmeupigania mnautumia against men, periodt..
Una chuki binafsi na zamaradi kwa sababu anasema ikweli na she built her success despite rumors. Anaakili anajielewa na anajua thamani na position yake kama mwanamke. Wanawake wengi wanamchukia and she says it more often.
Don't go this way...
Nani alimpa ruhusa hiyo mwanaume ya kuingia kwenye ndoa na mtu ambaye hakumfanyia vetting ya kutosha kujua kama ana responsibility au la?Sioni kama wanatafuta huruma, mimi naona wana-expose mfumo ambao tayari umeshakua proved kwamba umefeli. Tulipotaka kusimika usawa wa kijinsia hatukumwambia mwanamke kama usawa utakuja na wajibu sawa. Hatukumwambia mwanamke kuhusu stress na presha za kuwa main character. And now we end up with women who want place of a man, privilege of a waman and responsibility of neither. Tukikumbatia hiyo pattern lazima jamii ianguke. Sasa wanao-expose hicho kitu mimi sioni kama wanalalamika
Hapa unalinganisha economic policy na social fabric, kwenye uchumi, ukikosea sera unaweza kubadilisha interest rate na uchumi ukawa sawa.Watu waliosababisha tatizo wanaweza kuli-solve wakibadilisha mkakati, sema hawataweza kuli-solve tatizo kama wakitumia mkakati ule ule ambao umesababisha tatizo kuwepo. Tukisema tuingiliane kwenye proffesiinalism kesh na kesho kutwa uchumi utaanguka je hiyo maana yake sisi wachumi tukae pembeni tuwaachie computer scientists waje na suluhisho?
Hilo suala halipo kama ambavyo unataka kuliweka. Ndio maana uko juu nikakwambia unapita kwenye tones zile zile za kifeminia. Kutengeneza picha mwanaume aonekane ni villain kwenye kila situation. Kwamba mwanamke asiposoma au asipojua na kipato mwanaume atamnyanyasa, na mwanamke akisoma hawezi kukubali kunyanyaswa yaani mwanamke asome au asisome tayari ushajenga picha villain ni mwanaume tu.