Huwezi kupata kila unachotaka....

Huwezi kupata kila unachotaka....

Look beyond mambo madogo madogo and into the future. 1

Time is never on our side as women kuwajaribu wote hao.

Choose one ukijua kwamba hamna alie perfect katika hao. Choose one ambae moyo wako unajua kabisa unaweza kuishi nae mkawa na future na ukavumilia mapungufu yake. I would do this if it were me.

Pia kumbuka mtaka yote hukosa yote. Narrow down your needs and desires.
This is so strong! A post from a grown up mind!
 
Life is fair because is unfair to everybody. Unayempenda hakupendi usiyempenda ni mfupi, kitambi hakina ushirikiano, hana kumi
 
Woyooooo ndo nipo kwny hilo kundi la pili,Yani full kujisemesha huko "anyway tamuuuuu ananitmbg vzr" Tabu tupu huku Duniani
Sasa uzuri wa kundi hilo si kwamba una guarantee ya amani katika mapenzi yenu. Hutosalitiwa wala kuzenguliwa katika namna yeyote na mapenzi utayopewa ni A1.
Mi naona kuwa na mtu wa hivyo ni bora kuliko kuwa na kundi lolote hasa mwanamke akiwa anajiweza maana jamaa anachokosa ni pesa tu which i term it as a temporary situation.
Na KE wengi wana struggle ili waingie katika style hio ya mahusiano sikuhizi. Otherway round uwe na mume wa mtu kama huwezi kujihudumia ila ndio wengi hawapigi kazi ipasavyo so ni 50/50!
 
Bila kusahau usiempenda ndio mtu anaekujali kuliko wote, yani katika situation zotee he is there....moyo unadhambi sana.
Nimewahi kupenda sehemu, najitutumua mpk basi ,lkn muhusika wala ,huo muda hana

Huwa nakuelewa sana mleta Mada na Mada zako

Ngoja niendelee kujifunza huku nagonga moja moto moja baridi
 
mp kwa vocha nikuunganishe mana sio kwa uchambuz huu kiss upon you
 
Nimewahi kupenda sehemu, najitutumua mpk basi ,lkn muhusika wala ,huo muda hana

Huwa nakuelewa sana mleta Mada na Mada zako

Ngoja niendelee kujifunza huku nagonga moja moto moja baridi
Sometimes kuna huruma inakujaga kwa watu tusiowapenda unatamani hata upretend kwa mbaali unamkubali moyo unagoma hisia hazikubali kabisa, tunatamani hata kulipa fadhila hata kwa kabusu tu ila ndo wapiii!!!!!
 
Back
Top Bottom