Huwezi kupata kila unachotaka....

Huwezi kupata kila unachotaka....

Yaani hawa watu wenye nazo ni pasua kichwa.. Too busy mpaka unaeza tamani ummwage...

Hawa bad boys sijui wapoje will have to explore nijionee.. Hahahhahhaha
 
Ahaaaaaaa huu Uzi una zaidi ya ukweliiiii.

Shoga yangu mmoja alinambia exactly ulichosema.

Yeye Mme alipata na ndoa juu na kila kitu Mme anacho kasoro hivi.

1: mfupiiii,
2: sura kama wa yule waziri maana kamuharibia watoto

Nakataka kujua kwa ufupi ule dutheee lipo?
Kaseme kabla ya kujifungua Shoga alikuwa modo,so lilikuwepogo sasa hivi wote ni wanene, maana Mme ni mnene by nature, sasa hivi no balance equation

Yaan ni full vurugu hakuna wa kumgeuza kwingine,robo goliiii chariiiiiiiii ila pesa zipo zinafunika hayo mengine.

Style ilobaki ni popo kakojolea mbingu. Tu.

Unachokitaka huwezi kukipata.

#Yajayo yanasikitisha.#
Hahahhahhaha... Lol
 
Yaani hawa watu wenye nazo ni pasua kichwa.. Too busy mpaka unaeza tamani ummwage...

Hawa bad boys sijui wapoje will have to explore nijionee.. Hahahhahhaha

Wenye nazo ndo hivo tu wanasaidia kulainisha vyuma ila mapenzi hamna kitu ni watu emotionless mara nyingi.

Bad boys ni addictive, try at your own risk usiseme hukujua....
Miss u mingi rasta mwenzangu
 
Wenye nazo ndo hivo tu wanasaidia kulainisha vyuma ila mapenzi hamna kitu ni watu emotionless mara nyingi.

Bad boys ni addictive, try at your own risk usiseme hukujua....
Miss u mingi rasta mwenzangu
Hahhahaha.....nashukuru kwa kunipa angalizo rasta mwenzangu.. Ngoja nipambane na huyu mtu wangu aliye busy 24/7

Sema nini siku hizi nami amenifundisha kuwa busy so ngoma droooo.....
 
Hahhahaha.....nashukuru kwa kunipa angalizo rasta mwenzangu.. Ngoja nipambane na huyu mtu wangu aliye busy 24/7

Sema nini siku hizi nami amenifundisha kuwa busy so ngoma droooo.....
Kama wote mpo busy hapo mnabalance, ishu iwe we haupo busy ye busy
 
Kama wote mpo busy hapo mnabalance, ishu iwe we haupo busy ye busy
Hahahhahhaha... Ubize wa kiana tu ili nisiwe bored... Eeh maana Mi Nataka mtu wa kunipetipetii muda mwingi...

But I have to dance according to the move maana hamna namna tena...
 
Binamu,love is more sexier when your partner can be a broke ass as hell kiasi mpk unaweza mnasa kibao ili umpe buku tano and he can also be a filthy rich kiasi anaweza akununue kwa kila dakika.


Mh ww snowhite unavosema mwanaume akununue kila dakika, kwahiyo nyie wanawake mnajiuza kwetu Sie wanaume...lyk mnatuuzia papuchi zenu. Au Evelyn salt nifafanulie kidogo. Evelyn Salt snowhite
 
Mh ww snowhite unavosema mwanaume akununue kila dakika, kwahiyo nyie wanawake mnajiuza kwetu Sie wanaume...lyk mnatuuzia papuchi zenu. Au Evelyn salt nifafanulie kidogo. Evelyn Salt snowhite
Unashangaa kuuza papuchi ila hushangai kununua papuchi, bro huku sasa ni kutukausha uzazi.
 
Unashangaa kuuza papuchi ila hushangai kununua papuchi, bro huku sasa ni kutukausha uzazi.


Mkuu kwa sisi wawanaume hata usipotaka kununua papuchi, utalazimishwa tu uinunue, k.v kuombwa hela (kupigwa mizinga) baada ya kutongoza, pengine waweza pigwa mzinga baada ya kupewa papuchi, ukisema huna hela, papuchi hupewi na attention ya mdada inapungua, kupendewa pesa na mwanamke etc..under the umbrella of "kuhudumia" Evelyn Salt
 
Mkuu kwa sisi wawanaume hata usipotaka kununua papuchi, utalazimishwa tu uinunue, k.v kuombwa hela (kupigwa mizinga) baada ya kutongoza, pengine waweza pigwa mzinga baada ya kupewa papuchi, ukisema huna hela, papuchi hupewi na attention ya mdada inapungua, kupendewa pesa na mwanamke etc..under the umbrella of "kuhudumia" Evelyn Salt

Ha ha ha nmecheka sana kwamba unalazimishwa ununue lol!!!
 
Ungejua maana yakupenda ungepata aliye sahihi..huwezi kumkuta mtu kakamilika sasa pick afadhali kati ya hao ambye yupo tyr na mahusiano serious na wewe thn mkae chini mfanye kazi km team kufikisha mahusiano yenu sehemu flani tatizo lenu mmeona mbo* nyingi na mahusiano mengi kwahiyo vichwa vyenu vimekuwa na vigezo kibao kutokana na experiences zenu... vinawaza awe na mboo km juma,pesa kama david,romantic kama michael,msafi kama ally,handsome km idrissa,mcha Mungu km masanja,mcheshi km George, mpole km fadhili....sasa masifa yote hayo ya wapenzi wako wazamani eti awe nayo mwanamme mmoja khaaaaaaa...tulizeni miili hiyo hili vigezo vyenu vipungue... mjanja yeyote anajua kundi la wanawake wenye vigezo vingi wengi wao ni malaya wameona mengi
 
Ungejua maana yakupenda ungepata aliye sahihi..huwezi kumkuta mtu kakamilika sasa pick afadhali kati ya hao ambye yupo tyr na mahusiano serious na wewe thn mkae chini mfanye kazi km team kufikisha mahusiano yenu sehemu flani tatizo lenu mmeona mbo* nyingi na mahusiano mengi kwahiyo vichwa vyenu vimekuwa na vigezo kibao kutokana na experiences zenu... vinawaza awe na mboo km juma,pesa kama david,romantic kama michael,msafi kama ally,handsome km idrissa,mcha Mungu km masanja,mcheshi km George, mpole km fadhili....sasa masifa yote hayo ya wapenzi wako wazamani eti awe nayo mwanamme mmoja khaaaaaaa...tulizeni miili hiyo hili vigezo vyenu vipungue... mjanja yeyote anajua kundi la wanawake wenye vigezo vingi wengi wao ni malaya wameona mengi
Calm down, chill man chill....
 
Calm down, chill man chill....
Nipe nguo chafu..nina povu jingi mnatujaza povu halafu mnasema sikuhizi hatueleweki sasa maneno kama haya dawa yenu ni kuwa na ulaghai tu...sura mbaya,uongo mwingi,pesa za kukopa,napiga kimoja chakivivu bila romance halafu nakukopa natoka nduki...uje edit uzi uongeze kipengele kingine..
 
Nipe nguo chafu..nina povu jingi mnatujaza povu halafu mnasema sikuhizi hatueleweki sasa maneno kama haya dawa yenu ni kuwa na ulaghai tu...sura mbaya,uongo mwingi,pesa za kukopa,napiga kimoja chakivivu bila romance halafu nakukopa natoka nduki...uje edit uzi uongeze kipengele kingine..
Wait upo kundi gani my dear, I guess sio broke ass
 
Wait upo kundi gani my dear, I guess sio broke ass
Pesa ipo ipo kiasi,mapenzi kiasi,haiba ya kuwavutia wanawake ipo ipo,muonekano upo upo ila sipendezi sana,ubusy upo upo.Namshukuru, mwanamke wangu mi kila sector nampa 60% -70%. NAVUMILIKA.
 
Pesa ipo ipo kiasi,mapenzi kiasi,haiba ya kuwavutia wanawake ipo ipo,muonekano upo upo ila sipendezi sana,ubusy upo upo.Namshukuru, mwanamke wangu mi kila sector nampa 60% -70%. NAVUMILIKA.
Ha ha ha watu weeuweeeeeeee!!!!
 
Back
Top Bottom