Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,974
- 8,116
Truth be told
Hapa nimekuelewa vzr mno ,inabidi niangalie namna ya kutuma muamala kwa jinsi navyojifunza kwako ,natumai PM hujafunga ili kufanikisha hiliSometimes kuna huruma inakujaga kwa watu tusiowapenda unatamani hata upretend kwa mbaali unamkubali moyo unagoma hisia hazikubali kabisa, tunatamani hata kulipa fadhila hata kwa kabusu tu ila ndo wapiii!!!!!
Nakuona unanipigia uturn mzee baba😀😀Hapa nimekuelewa vzr mno ,inabidi niangalie namna ya kutuma muamala kwa jinsi navyojifunza kwako ,natumai PM hujafunga ili kufanikisha hili
Basi ukisumbuliwa unajikuta keeeki tehBad boys/players wanakuaga sweetest watundu mno hawachoshi, ni addictive ni kind ya watu wanakufanya uwe wet kwakweli ila huwa hawajali utaletewa mapicha picha utakaa utapanga kibuti "it's over mi siwezi kuendelea na wewe" kesho masikini unajirudisha "am sorry unajua bla bla nashindwa kukaa bila wewe" na vile hawajali unajirudisha utaliwa mchana kweupeee unaendelea kuwepo kuwepo.Hili kundi ndo nipo,nimemgusa mtoto juzi kachizi anasumbua balaa.
Hamna nawasiliana poa tu naye,sijaridhika bado nataka nikatafune tena vzuuuuuri mpaka kamwage maji yaleBasi ukisumbuliwa unajikuta keeeki teh
Hapana, siko huko unako fikiria ,na siwezi kuwa huko,napenda kujifunza tu ,nakutoa pongezi kwa kile kizuriNakuona unanipigia uturn mzee baba😀😀
Hivi huwa najiuliza miaka ya za nadhani kabla ya 80s watu wengi walikuwa wanaowa wasichana ambao hawawafahamu, walikuwa wanachumbiwa na baba zao na kuwalipia mahari na waliishi hadi kuzeeshana, miaka ya sasa asilimia kubwa tunaowa wasichana/wanawake tunaowataka sisi lakini ndoa nyingi hazina furaha wala maelewano kulikoni?Ukimpata mnayependana nae lkn akakosa vtu flnfln amazing unavyovitaka it's time ya kumjenga wew awe vile utakavyo....don't expect to get a ready made husband or wife,build yours....otherwise utaacha kila siku kama unamtafuta mkamilifu....
NB: In love u don't get the right person,rather u get the wrong person who u consider to be right and perfect for u only,in other words u get the right-wrong person.
Tamaa mkuuHivi huwa najiuliza miaka ya za nadhani kabla ya 80s watu wengi walikuwa wanaowa wasichana ambao hawawafahamu, walikuwa wanachumbiwa na baba zao na kuwalipia mahari na waliishi hadi kuzeeshana, miaka ya sasa asilimia kubwa tunaowa wasichana/wanawake tunaowataka sisi lakini ndoa nyingi hazina furaha wala maelewano kulikoni?
Okay, nakatamaniaHamna nawasiliana poa tu naye,sijaridhika bado nataka nikatafune tena vzuuuuuri mpaka kamwage maji yale
Yani hadi nakaonea wivu navokapa,Kembamba halafu ndo kanaibukia so navokapiga ni kwa ufundi balaa.Kalitoa Yale madude meupee magumuuu nikajua kanaisikia vzrOkay, nakatamania
Nazani shule imeleteleza matatizo zaidi katika ndoa, mwanamke akisoma akija kuolewa anakuwa na matazamio ya kupata maisha mazuri kutoka kwa mume wake (badala ya kuyatafuta) akiolewa hafu akakuta jamaa ni wakawaida kimaisha wanaanza kusumbuana,Tamaa mkuu
Kabla hajaingia anakuwa mtu sana akiingia kwenye ndoa tamaa ya kupata inaanza
Pia kutaka maisha zaidi ya uwezo wako
Mixa popo bawa....😀😀 ticha usiniambie una tabia za jini mahaba!
Enzi hizo wanaume walikua WANAUME na wanawake walikua WANAWAKE siku hizi tupo tupo tu, mfumo wa maisha umetubadilisha na bado unatubadlisha.Hivi huwa najiuliza miaka ya za nadhani kabla ya 80s watu wengi walikuwa wanaowa wasichana ambao hawawafahamu, walikuwa wanachumbiwa na baba zao na kuwalipia mahari na waliishi hadi kuzeeshana, miaka ya sasa asilimia kubwa tunaowa wasichana/wanawake tunaowataka sisi lakini ndoa nyingi hazina furaha wala maelewano kulikoni?
😀😀😀 haya ukuje in flesh ticha. I am waiting...Mixa popo bawa....
Wanawake mmekuwa wa tamaa sana mnaishi kwa kushindana kinyume vipato vyenu hilo nalo tatizoEnzi hizo wanaume walikua WANAUME na wanawake walikua WANAWAKE siku hizi tupo tupo tu, mfumo wa maisha umetubadilisha na bado unatubadlisha.
Wanaume nmekua na umama sana mnashindwa kufanya majukukumu yenu...Wanawake mmekuwa wa tamaa sana mnaishi kwa kushindana kinyume vipato vyenu hilo nalo tatizo
Eeh you're right Kwa Kweli.. Vilivyokamilika havidumu... Missing my H pia... I know we gonna meet one dayAggggrrrrrrr!!! Maisha sio fair kabisa, na ukipata karibia na vyote pia havidumu. I miss you my F.
Sasa inabidi tujumlishane tu ili angalau upate kidogo kidogo.
Hahahaaaa! Nimecheka hapo eti utafikiri anapambana na umasikini.
