Huwezi kupata kila unachotaka....

Huwezi kupata kila unachotaka....

Mwandishiiiiiiii,!
Sijui kwa nini, thread zako natokea kuzipenda sana,kwa kuwa zina reflect life letu la uswazi,la kula ugali na utumbo wa kuku,miguu na vichwa na kachumbari kwa wiiiingi.
Kwa kifupi,mwandishi,
mtu hapati atakacho hata siku moja,bali alichojaaliwa na mola tu..
 
Look beyond mambo madogo madogo and into the future. 1

Time is never on our side as women kuwajaribu wote hao.

Choose one ukijua kwamba hamna alie perfect katika hao. Choose one ambae moyo wako unajua kabisa unaweza kuishi nae mkawa na future na ukavumilia mapungufu yake. I would do this if it were me.

Pia kumbuka mtaka yote hukosa yote. Narrow down your needs and desires.
Naomba niwe rafiki yako wa kuchat tuu tafadhali, hakuna zaidi ya hapo
 
Ukimpata mnayependana nae lkn akakosa vtu flnfln amazing unavyovitaka it's time ya kumjenga wew awe vile utakavyo....don't expect to get a ready made husband or wife,build yours....otherwise utaacha kila siku kama unamtafuta mkamilifu....
NB: In love u don't get the right person,rather u get the wrong person who u consider to be right and perfect for u only,in other words u get the right-wrong person.
 
Kwahiyo hizo sample zote unauzoefu nazo au sijakusoma vzr
 
ngooooja nikupangie list dogo!

-AVERAGE JOE,
-MANDINGO,
-WA SELFIE,
-WA SHEREHE ZA JUMUIYA YA MT. PETRO,
-WA IDEAS ZA BIASHARA NA THESIS WRITE UP
-WA KWENDA NAE BIRTHDAYS ZA MASHOSTI
-A HOLY SAVIOR(huhamishaga milima hawa hata uwe in which kind of shit atakuokoa tu na hali chochote)
aaahhahahaha sio mzima kabisa wewe!
Huyo holy saviour huyo....bwana niokoeee
 
Back
Top Bottom